Akizungumza katika kipindi cha Medani za Siasa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Buluba Mabelele amezungumzia utendaji wa haki kati ya Msajili wa Vyama vya Siasa na yanayoendelea katika vyama vya siasa nchini akisisitiza Tume huru ya Uchaguzi (INEC) kumrejesha Mgombea Urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina kwenye kinyanganyiro kuwania nafasi hiyo akidai yanayoendelea yanachafua chama cha Mapinduzi (CCM)
"Chadema ilipowafukuza wale wabunge 19, Msajili wa vyama vya Siasa alichukua maamuzi gani, kusiwe na double standard” Buluba Mabelele - KADA WA CCM
"Chadema ilipowafukuza wale wabunge 19, Msajili wa vyama vya Siasa alichukua maamuzi gani, kusiwe na double standard” Buluba Mabelele - KADA WA CCM