Mabeberu yameanza kutuheshimu sasa

Wao pia wanategemea madini yetu

Nadhani utaelewa kwa kina comrade
 
Wekeni picha ya ujenzi wa bwawa ili wananchi waone
Njoo kisaki halafu uwaombe wahusika wakupeleke ukaone ili uje utoe ushuhuda vizuri maana naona hadithi za Ngoswe mnajitengenezea kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…