Mabati ya Kiboko G28 yana matatizo, TBS mko wapi?

Mabati ya Kiboko G28 yana matatizo, TBS mko wapi?

Mi naomba msaada bati ambazo ni nzuri sio za bei ya juu wala ya chini,ya Quality ya kwaida ,ya rangi hizi za kwaida G 28 au G 30 kwa mbeya mjini napata wapi msaada plz
 
Dah sasa nitalazimika kununua bati zangu hapa hapa UK
 
Ukienda watakuliza ulinunua kwa wakala gani? Na hapo ndipo yatakapoishia.
 
Nilitarajia watu wa kiboko waje kutueleza tufanyeje na hayo mabati yao. Kwa kuwa hawajitokezi naituma kwao nikipata email ya ofisi yao pamoja na TBS

hizo hapo address zao waambie mkuu maana naona unashindwa hata kugoogle ili kuwapata hao nimekusaidia
P.O.Box 3030, Mikocheni Ligh Land Area, Dar Es Salaam, Tanzania
+255-22-2771767
info@kibokopaints.com
http://www.kibokopaints.com
 
Kwa wale wajenzi wanao hitaji bati na vigae bora kabisa Kwa upande wa mbeya wasiliana nasi kupita namba 0753 944 483
ANDO ROOFING MBEYA NA IRINGA TUMEFIKA
 
Nimenunua mabati ya kiboko G28 lakini wakati wa kuezeka fundi akanieleza kuwa hayakai kwenye usawa kama ailvyozoea.
Nilipoyapima nikapata vipimo vifuatavyo
Upana: sehemu ya chini ni cm 82 na sehemu ya juu ni cm 86
Diagnal: moja ni cm 310 na nyingine ni cm 312
Kwa mshangao mkubwa mabati haya yana nembo ya TBS.
Je nifanyeje? TBS mnakagua kiwanda hiki?
Kiboko ni sheeda. Jirani yangu alinunua hakuyatumia kama miezi 6. Siku anataka kuyatumia vile yalivyo weka rangi zilibanduka yakawa kama batiki
 
Je tangu ulipoyatumia hadi leo hii yana hali gani? Au ndio ushabadilisha na kuezeka mengine!?
 
Back
Top Bottom