inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,962
- 18,256
naona umeamua kuandika tu baada ya kushiba..kuna basi la mwanza la saa moja au umevimbiwa!?Kufikiria ni kazi sana...jifunze kufikiria....mabasi yanatoka kwa mda mbalimbali...saa 12 ssa 1,saa 2 na kuendelea...unaoanda basi kulingana na uwezo wako kifedha na mda gani unataka kuondoka na kwanini