Mabasi ya majini mbioni Tanzania

Mabasi ya majini mbioni Tanzania

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
[h=1]Kampuni ya Transevents Marketing Ltd ya Tanzania kwa kushirikiana na kampuni la Dutch Amfibious Transport(DAT) linalotengeneza mabasi kutoka Uholanzi yenye uwezo wa kutembea nchi kavu na majini na ambayo itakuwa ni Teknolojia ya kwanza kwa Afrika itakayoanzia Tanzania.[/h]Mabasi hayo ya aina yake ambayo yatakuwa na uwezo wa kubeba abiria wa kutosha yanatarajiwa kuzinduliwa mwakani nchini Tanzania , pamoja na hayo mabasi hayo yataweza kupunguza foleni kwa kiasi kikubwa na kurahisisha swala zima la usafiri ambapo mabasi hayo na baadhi ya magari mengine madogo yatakuwa na uwezo wa kupita majini na Nchi kavu. b2.jpg
 
[h=1]Kampuni ya Transevents Marketing Ltd ya Tanzania kwa kushirikiana na kampuni la Dutch Amfibious Transport(DAT) linalotengeneza mabasi kutoka Uholanzi yenye uwezo wa kutembea nchi kavu na majini na ambayo itakuwa ni Teknolojia ya kwanza kwa Afrika itakayoanzia Tanzania.[/h]Mabasi hayo ya aina yake ambayo yatakuwa na uwezo wa kubeba abiria wa kutosha yanatarajiwa kuzinduliwa mwakani nchini Tanzania , pamoja na hayo mabasi hayo yataweza kupunguza foleni kwa kiasi kikubwa na kurahisisha swala zima la usafiri ambapo mabasi hayo na baadhi ya magari mengine madogo yatakuwa na uwezo wa kupita majini na Nchi kavu.View attachment 281138

Ya kwenye maji sio kweli labda baada ya miaka 30 lakini kama ni majini mbona yapo siku nyingi?
 
Huenda madereva watoke USA au UK, Lakini hawa Wavuta bange walio zalishwa na CCM sipandi ng'ooo hawakawiii kupigia milupo zao cm!
 
Sasa hii ya BRT imewashinda hadi sasa haieleweki....wamezindua sijui mabasi yameishia wapi....

Wakileta hayo ya majini si ndo yatakuwa mambo ya Mv bukoba kila siku
 
Kwa hawa madereva wenu wanywa viroba ni lazima ujaradie lifejacket otherwise jiandae kufa maji.
 
Back
Top Bottom