Hapo UDA nawasifu japo wamechelewa, kuachia usafiri kwa 100% watu binafsi ni serikali kukosa fikra ni hatari sana wakigoma uzalishaji unazorota. Wayalete hizi daladala za vigogo zinatukera sana, wanakiburi, matusi, wacha wapaki pembeni wash***z sana hawa.
UDA, TRENI, MABAYA FASTA FANYENI CHAP TUNANYANYASWA SANA NA MADALADALA YA VIGOGO!!!