Mabango Ya Nguvu Za Kiume

Mabango Ya Nguvu Za Kiume

zebigmdau

Member
Joined
Aug 12, 2015
Posts
6
Reaction score
3
Siku hizi mabango ya dawa za nguvu za kiume yamekuwa mengi sana. Ni vijana wanashindwa kazi ama wadada wamekubuhu?
 
Pengine pengine pengine yaani hata haieleweki imekuwaje yaani basi basi tu ni mkanganyiko wa kuvurugana kwa mchanganyo wa hovyo hovyo mpaka hakieleweki kipi ni kipi kuweza kung'amua huu utata uliosambaa haina mfano wa kufananishia asilani hapa duniani pande hii ya tanzania hasa uswahilini, ohh stop.
 
Back
Top Bottom