Kwani umesikia tunazihitajiNgoja tuone mwisho utakuwaje.
Na msije mkachukua hela zao za udhamini
Wewe ni kiongozi wa Simba?Kwani umesikia tunazihitaji
Matatizo ya jiesem Ni makubwa Sana,tangu pale alipowaibia Watz pesa Yao ya Kodi miaka ya nyuma,hivi Sasa anatakasisha pesa yake kupitia UtOPoLo.GSM Ana Matatizo Gani Mbona Analazimisha Mambo
Mambo yameumana hapa. Aibu kubwa kwa tff. View attachment 2039534