CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 Jun 6, 2012 #2 Songíto;4005183 said: Click to expand... Jumba kama hili linakosti bei gani kulimiliki maeneo ya Dar,Moro?
Songíto;4005183 said: Click to expand... Jumba kama hili linakosti bei gani kulimiliki maeneo ya Dar,Moro?
S Song'ito JF-Expert Member Oct 4, 2011 348 147 Jun 6, 2012 Thread starter #3 spika said: Jumba kama hili linakosti bei gani kulimiliki maeneo ya Dar,Moro? Click to expand... Aisii inabidi wataalamu wa majengo watuambie, mana ni balaa...
spika said: Jumba kama hili linakosti bei gani kulimiliki maeneo ya Dar,Moro? Click to expand... Aisii inabidi wataalamu wa majengo watuambie, mana ni balaa...
Mwazange JF-Expert Member Nov 16, 2007 1,056 81 Jun 7, 2012 #4 Mbona kichwa cha habari na habari yenyewe haviwiani? umeweka bangaluu halafu umeita mabangaluu...
S Song'ito JF-Expert Member Oct 4, 2011 348 147 Jun 7, 2012 Thread starter #5 Mwazange said: Mbona kichwa cha habari na habari yenyewe haviwiani? umeweka bangaluu halafu umeita mabangaluu... Click to expand... \ mengine yalikuwa mwendelezo toka kwa wadau...naona wamelala..
Mwazange said: Mbona kichwa cha habari na habari yenyewe haviwiani? umeweka bangaluu halafu umeita mabangaluu... Click to expand... \ mengine yalikuwa mwendelezo toka kwa wadau...naona wamelala..
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,351 Jun 7, 2012 #6 Lazima uwe waziri wa Maliasiri, au Nishati na madini, au fedha au........ waziri Mkuu
C Capt Tamar JF-Expert Member Dec 15, 2011 11,748 14,651 Jun 8, 2012 #8 kaburunye said: ukiwa na million 450 unapata kitu hiki Click to expand... Kwa hiyo lile la mh maige limeifunika hii?lime cost $700,000/ na dalali kala zake za kutosha.
kaburunye said: ukiwa na million 450 unapata kitu hiki Click to expand... Kwa hiyo lile la mh maige limeifunika hii?lime cost $700,000/ na dalali kala zake za kutosha.
S Song'ito JF-Expert Member Oct 4, 2011 348 147 Jun 8, 2012 Thread starter #9 olyset net said: Kwa hiyo lile la mh maige limeifunika hii?lime cost $700,000/ na dalali kala zake za kutosha. Click to expand... hapo sasa na mm sijapata picha...mana sidhani kama la maige linalifikia hekalu hili japo kwa mbali
olyset net said: Kwa hiyo lile la mh maige limeifunika hii?lime cost $700,000/ na dalali kala zake za kutosha. Click to expand... hapo sasa na mm sijapata picha...mana sidhani kama la maige linalifikia hekalu hili japo kwa mbali
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 Jun 9, 2012 #10 kaburunye said: ukiwa na million 450 unapata kitu hiki Click to expand... Hii 450m siyo thamani ya hili jumba,but ni gharama ya kujenga hili jumba,so in the other means kama utatumia 450m kulijenga basi thamani yake ni around $1,000,000.
kaburunye said: ukiwa na million 450 unapata kitu hiki Click to expand... Hii 450m siyo thamani ya hili jumba,but ni gharama ya kujenga hili jumba,so in the other means kama utatumia 450m kulijenga basi thamani yake ni around $1,000,000.