Ninahitaji mabanda ya kukodisha kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe au kuku. Yeyote mwenye mabanda hayo au anaejua mahali yanapopatikana katika jiji la Dar tafadhali anifahamishe. Namba yangu ni 0714786186. Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.