Habar ndungu zangu, nasubuliwa sana na tatzo la fangasi wa sehem za siri nmetumia daw za hosptal ila hazjansaidia, hap nlpo sehm za pumbu zmebadil rang na kuwa nyeupe had mishapa ya damu inaonekana, nisaidien ndugu zangu nitumie dawa gan
1.bafu mnalochangia ni chafu sana au hata likisafishwa sio kwa dawa
Dawa huwa ni antibiotics akifika pharmacy atasaidiwa.<br />
Hivi vyoo vya public ni rahisi sana kupata UTI.
ndugu zangu naomba kuifahamu dawa ya magonjwa hayo nimsaidie mwenzangu,vilevile nini causes ya magonjwa haya kwa kina dada?<br />
Msaada tafadhali wandugu!
Dawa huwa ni antibiotics akifika pharmacy atasaidiwa.<br />
Hivi vyoo vya public ni rahisi sana kupata UTI.
ndugu zangu naomba kuifahamu dawa ya magonjwa hayo!