proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 5,736
- 7,614
mwambieHopefully na watoto unawapa malezi wanayostahili….
Naogopa kurogwaa 😱😱😱🥱🥱🥱Weka kapicha ka ujauzito
Baba gani unajisifu kabisa mbele za watu eti watoto wako wana chura?Kuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume wangu vizuri...
Tembelea uzi wa pisi kali ili kupata maarifa ya sampuli mbali mbaliHili ndo tatizo la kuwajua wanawake ukubwani 🙌🏽🙌🏽
Ni sahihi unavyosema, lakini iwapo akikuona huna uelekeo na maisha, hawezi kukubebea mimba hata Kwa bahati mbayaUnamuwekea mazingira ya kukuamini, na mwisho wa siku atatoa hiyo hand break
Unapewa swaga mpaka mwenyewe unakubali kuachiasi ni mpaka nitake hiyo mimba!
Kwa hiyo ndo tuseme jux ana kijiti mkono wa kushoto?Hiyo mimba itaingia iwapo atakuwa hajafunga "Hand break"
Siku hizi Kwa Kila Wanawake 5 basi 3 ukiwaangalia kwenye Mkono wao wa kushoto utakuta Wana hand break ( wanatumia vimti kujilinda na mimba zisizo tarajiwa)...
Hii ni muhimu sana, na ndio inayo wachanganya zaidi ata katika kupasha kiporo inakuwa si vigumumwambie
ni mwanamke mjinga tu hubeba mimba kwa swaga anazopewaUnapewa swaga mpaka mwenyewe unakubali kuachia
Mwenye kijiti alikuwa nacho VanessaKwa hiyo ndo tuseme jux ana kijiti mkono wa kushoto?
Mimi nawatembelea huku huku mtaani haina haja ya kuwacheki kwenye uzi 😁😁😁Tembelea uzi wa pisi kali ili kupata maarifa ya sampuli mbali mbali
Uko sahihiNi sahihi unavyosema, lakini iwapo akikuona huna uelekeo na maisha, hawezi kukubebea mimba hata Kwa bahati mbaya
Kama hujui ni kwamba, Wanawake Wana penda sana kuhakikishiwa Usalama wao na Watoto wao. Hasa Kiuchumi, kama huna Uchumi mzuri ni ngumu sana msichana anayejielewa kukubebea mimba, sembuse kukupa game
Tuulizeni Wazee wenu vizuri 😜
Hujakutana na swaga zangu; mwenyewe ndio ungekuwa unalazimisha iingieni mwanamke mjinga tu hubeba mimba kwa swaga anazopewa
oyaa acha wenge sio kila mwanamke anahemwa hovyoHujakutana na swaga zangu; mwenyewe ndio ungekuwa unalazimisha iingie
Tafuta pisi kali zilizo nyookaMimi nawatembelea huku huku mtaani haina haja ya kuwacheki kwenye uzi 😁😁😁
Ukifuata njia zangu, hakikisha chakula chako kinatoka shambani na si cha kununua.Kama ulilelewa ili uendelee kuwa mvulana na siyo mwanaume utaona ni jambo dogo sana kuzaa zaa hovyo na kutelekeza watoto waishi na mama zao, ila kwa sisi tuliolelewa ili tuwe wanaume hatuwezi kupata usingizi ikiwa tutawazalisha wanawake hovyo hovyo alafu hujui mtoto kala nini wala kavaa nini,
Na mahitaji hayo huwezi kuyatimiza ikiwa unaona kuzalisha wanawake hovyo ni jambo dogo.
Hiyo mimba itaingia iwapo atakuwa hajafunga "Hand break"
Siku hizi Kwa Kila Wanawake 5 basi 3 ukiwaangalia kwenye Mkono wao wa kushoto utakuta Wana hand break ( wanatumia vimti kujilinda na mimba zisizo tarajiwa)
Refer case ya Vanessa Mdee na Juma Jux
Pamoja na Jux kupiga mashuti makali lakini hakuweza hata kumbebea mimba, lakini Rotimi kugusa kidogo tu, Vanessa akaanza kuhisi kichefuchefu na kuanza kula udongo mwekundu