Ni ukweli kwamba kuna-sintofahama kubwa sana inayoendelea nchini kwa sahivi,
- Wananchi walio wengi hawana imani na mahakama
- Wananchi walio wengi hawaamini mchakato wa uchaguzi
- Wananchi walio wengi hawaamini kwenye bunge
- Viongozi walio wengi sio wote hawawatumikii wananchi inavyotakiwa
NIKIWA RAIS WA TANZANIA mambo ambayo ntayafanya na yataiponya nchi na ni kama yafuatayo;-
- Msajili wa vyama vya siasa kutokuchaguliwa na Rais bali na vyama vya siasa vitakaa na kuamua namna ya kumchagua msajili wa vyama vya siasa kazi ya Rais ni kumuapisha
- Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi na wajumbe kutokuchaguliwa na Rais, bali na vyama vya siasa wataangalia namna ya kumteua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na wajumbe wake, wakishachaguliwa kazi ya Rais ni kuwaapisha
- DPP kuchaguliwa na wananchi na hatikwi kuwa na historia ya kuwa affiliate na chama chochote na akimaliza mda wake hatakua eligible kugombea Urais wa Tanzania
- Jaji mkuu kuchaguliwa na wananchi hatakiwi kuwa affliated na chama chochote-Majaji wa mahakama kuu kutochaguliwa na Rais bali na mchakato wa ndani wa mahakama kazi ya Rais ni kuwaapisha na akimaliza mda wake hatakua eligible kugombea Urais wa Tanzania
- Deni la taifa kukaguliwa na dpp ili kujua namna lilivyotumika
- Mkuu wa takukuru kuchaguliwa na wananchi na hatakiwi kuwa affiliate na chama chochote, na akimaliza mda wake hatakua eligible kugombea Urais wa Tanzania
- Mkaguzi wa miradi ya serikali huyu atakua anachagulia na wananchi na atakua ni engeineer na atakagua miradi yote iliyofanywa na kutathmini kama inaendana na thamani ya fedha iliyotengwa
- Mbunge ni lazima aishi kwenye jimbo lake sio haki hata kidogo na ni ukatili mkubwa sana mbunge tunakuchagua alafu unaenda kuishi dar jimboni unakuja kama mtalii
- Mawaziri kutokuwa wabunge sababu mawaziri wengi wanapwaya kwenye majimbo yao
- Wakuu wa mikoa kuchaguliwa na wananchi
Maandalizi na mchakato wa kuwa Rais wa Tanzania yanaendelea at the same time harakati za kutafuta rizki zinaendelea in-short maisha lazima yaendelee JAMANI NAOMBA MNIUNGISHE Historia nzuri ni ile inayoandikwa in an ugly way, and awkward way 👇👇👇👇👇👇👇👇 Kwenye historia ya Tanzania ntakumbukwa kuwa...
www.jamiiforums.com