Tetesi: Mabadiliko ya Vifurushi yanakuja Tarehe 18.08.2022: Tutegemee unafuu au maumivu zaidi?

Nobunaga

JF-Expert Member
Mar 22, 2019
1,169
4,985
Tarehe 18 mwezi huu kuna mabadiliko mapya ya vifurushi yatafanyika. Hiyo ni kwa mujibu wa jumbe za kampuni husiko walizotuma.

Kikubwa tulichokuwa tunaumia watumia mabando ya kwenye simu ni kwa upande wa Internet Bundles ambazo zimekuwa zikishushwa kiwango kila kunapofanyika mabadiliko.

Je, na haya mabadiliko ya keshokutwa wananchi tutapata unafuu ama ndiyo watazidi kutuchinjia baharini?

IMG_20220816_210839.jpg


IMG_20220816_210923.jpg


IMG_20220816_211233.jpg


IMG_20220816_211606.jpg


IMG_20220816_212154.jpg
 
Kuna makampuni yatapoteza wateja kila kukicha yasiwaige Vodacom na Tigo + Airtel naongea hvo kwasababu hata wabadil vifurush vp ntabaka kua royal Vodacom + na Tigo why..

kwa sababu ya huduma Tigo voda na airtel hiz ni brand kubwa na zinahuduma mbal mbal ambazo tunatumia kila siku katika maisha yetu mitandao kama TTCL sijui Halotel ambapo hata kupata huduma za mawakala ni kwa kusua sua


ni bora wangekua wanauza data tu skuiz watu weng hawatak sms dk watu wnataka MB sasa hvo vi kampun vidogo acha waige vodacom tigo na airtel kama watu watabak huko watu wataona haina maana kubak mtatando wa kichoko huduma na mahtaj ya shida watahamia
Tigo vodacom na airtel


na kumbuka kwa mujib wa TCRA vodacom inagoza kwa wateja 16M ikifatiwa na Airtel 14M na Tigo 13M kumbuka Tigo kainunua zantel wapemba wote na wenye lain wote za zantel sa hv ni Tigo ila pamoja na hayo hata Tigo na zantel zi combine hazifikii watumiaji wa Vodacom

acha ni enjoy na vodacom acha vodacom wanitese kuliko niteswe na TTCL sijui smile sijui Halotel ambazo network zao mbovu kwenye calls data zenyewe zinayumba akt voda napata 8MB/s

IMG_4634.jpg

IMG_4633.jpg

IMG_4636.jpg
 
Kuna makampuni yatapoteza wateja kila kukicha yasiwaige Vodacom na Tigo + Airtel naongea hvo kwasababu hata wabadil vifurush vp ntabaka kua royal Vodacom + na Tigo why..

kwa sababu ya huduma Tigo voda na airtel hiz ni brand kubwa na zinahuduma mbal mbal ambazo tunatumia kila siku katika maisha yetu mitandao kama TTCL sijui Halotel ambapo hata kupata huduma za mawakala ni kwa kusua sua


ni bora wangekua wanauza data tu skuiz watu weng hawatak sms dk watu wnataka MB sasa hvo vi kampun vidogo acha waige vodacom tigo na airtel kama watu watabak huko watu wataona haina maana kubak mtatando wa kichoko huduma na mahtaj ya shida watahamia
Tigo vodacom na airtel


na kumbuka kwa mujib wa TCRA vodacom inagoza kwa wateja 16M ikifatiwa na Airtel 14M na Tigo 13M kumbuka Tigo kainunua zantel wapemba wote na wenye lain wote za zantel sa hv ni Tigo ila pamoja na hayo hata Tigo na zantel zi combine hazifikii watumiaji wa Vodacom

acha ni enjoy na vodacom acha vodacom wanitese kuliko niteswe na TTCL sijui smile sijui Halotel ambazo network zao mbovu kwenye calls data zenyewe zinayumba akt voda napata 8MB/s

View attachment 2325710
View attachment 2325711
View attachment 2325712
Vodacom wanakupa 8mb/s tena kwenye 4G?😳😳😳 Sasa kwenye 2.5G yaani E itakuwaje si 0mb/s.

Halotel napata hivi kwenye 3G na 4G, mara nyingi huwa siwashi kabisa 4G kwenye simu yangu, sababu speed ya 3G inanitosha kabisa, speed ya 4G inamaliza tu chaji!
Screenshot_20220817-084726.png
na 4G
Screenshot_20220817-084830.png
 
Back
Top Bottom