Nashauri Halmashauri ya Bunda Mji uvunjwe ili kuwa na Halmashauri ya Chamriho na Halmashauri ya Mwibara. Makao makuu ya Halmashauri ya Chamriho pawe Bunda Mjini na Makao Makuu ya Halmashauri ya Mwibara pawe Kibara. Aiingi akilini mwananchi anatoka Machimweru mpakani mwa Serengeti kwenda kutafuta huduma kwenye Halmashauri yake kule Kibara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.