zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,261
- 3,909
Hakuna kuficha wala kutafuna maneno katika hili, kweli kabisa, mabadiliko ya dhati yanatakiwa Tanzania katika kila nyanja, hususan uongozi.
Mabadiliko yanayotakiwa Tanzania ni katika uongozi wa nchi (Administration) na si mabadiliko ya chama fulani au watu fulani, la hasha. Leo Tanzania, mfumo wetu wa uongozi unawafanya wana siasa ndio waongoze nchi katika kila nyanja, nadhani hapo ndipo tunapokosea, na hii iwe kwa chama chochote kitachoingia madarakani mambo ni hayo hayo.
Siasa na wanasiasa wabaki kuwa wanasiasa na wapiga porojo, no matter elimu na fani zao zilivyo. Mfumo mzima wa uongozi Tanzania hautegemei ujuzi wa mtu, hautegemei mapungufu anayoyaonyesha katika utendaji wala hautegemei nyadhifa anayoshika inataka iwe vipi?
Unakuta waziri daktari anaongoza wanajeshi? hata JKT hajawahi kupitia. Huu ni mfano mmoja tu.
Wanasiasa walikuwa wachaguliwe kuwa wanasiasa na wapige porojo za kisiasa. Badala ya kuwa na mawazori weeengi na wizara nyiiingi. Ziwepo wizara sita tu. Kusiwe na idara kibaaao kartika hizo wizara.
Mamlaka yote ya kuendesha nchi kiutendaji yarudi majimboni, haina haja ya kuwa na mikoa kibaao na wakuu wa mikoa kibaaao. majimbo manne tu yanatosha Tanzania nzima.
1) President awe anachaguliwa na si lazima awe wa chama fulani.
2) Waziri mkuu ndio awe mtendaji mkuu akiendesha wizara 6 tu.
3) Magavana wawe 4 kwa Tanzania nzima, na waongoze majimbo yao kwa ushindani.
4) Badala ya mikoa tuwe na majimbo manne ambayo yatakuwa na mabunge yake. Wabunge ndio watakuwa wakuu wa wilaya zao. Kila jimbo liwe na wilaya zisizo zidi kumi na mbili na wote watakuwa wa kuchaguliwa hakuna wa viti maalum.
5) Magavana wote watawajibika kwa majimbo yao kwa yote, magavana si lazima wawe wa chama fulani.
6) Baada ya mabunge ya majimbo kutakuwa na Bunge kuu ambalo litahusisha wabunge wanne kutoka kila jimbo wakiongozwa na gavana wao. Kwa hiyo bunge zima halitozidi wabunge 30, mawaziri sita watakuwa wabunge automatic. Hakuna wabunge wa viti maalum.
7) Kamati zote za bunge zitazokuwa formed zitahusisha watendaji wasio bungeni watu wenye fani zao na wenye sifa za kielimu na uzoefu katika fani zao. mbunge anaweza kuwa mwenyekiti tu wa kamati.
Hayo ni machache tu, tuendelee....
Mabadiliko yanayotakiwa Tanzania ni katika uongozi wa nchi (Administration) na si mabadiliko ya chama fulani au watu fulani, la hasha. Leo Tanzania, mfumo wetu wa uongozi unawafanya wana siasa ndio waongoze nchi katika kila nyanja, nadhani hapo ndipo tunapokosea, na hii iwe kwa chama chochote kitachoingia madarakani mambo ni hayo hayo.
Siasa na wanasiasa wabaki kuwa wanasiasa na wapiga porojo, no matter elimu na fani zao zilivyo. Mfumo mzima wa uongozi Tanzania hautegemei ujuzi wa mtu, hautegemei mapungufu anayoyaonyesha katika utendaji wala hautegemei nyadhifa anayoshika inataka iwe vipi?
Unakuta waziri daktari anaongoza wanajeshi? hata JKT hajawahi kupitia. Huu ni mfano mmoja tu.
Wanasiasa walikuwa wachaguliwe kuwa wanasiasa na wapige porojo za kisiasa. Badala ya kuwa na mawazori weeengi na wizara nyiiingi. Ziwepo wizara sita tu. Kusiwe na idara kibaaao kartika hizo wizara.
Mamlaka yote ya kuendesha nchi kiutendaji yarudi majimboni, haina haja ya kuwa na mikoa kibaao na wakuu wa mikoa kibaaao. majimbo manne tu yanatosha Tanzania nzima.
1) President awe anachaguliwa na si lazima awe wa chama fulani.
2) Waziri mkuu ndio awe mtendaji mkuu akiendesha wizara 6 tu.
3) Magavana wawe 4 kwa Tanzania nzima, na waongoze majimbo yao kwa ushindani.
4) Badala ya mikoa tuwe na majimbo manne ambayo yatakuwa na mabunge yake. Wabunge ndio watakuwa wakuu wa wilaya zao. Kila jimbo liwe na wilaya zisizo zidi kumi na mbili na wote watakuwa wa kuchaguliwa hakuna wa viti maalum.
5) Magavana wote watawajibika kwa majimbo yao kwa yote, magavana si lazima wawe wa chama fulani.
6) Baada ya mabunge ya majimbo kutakuwa na Bunge kuu ambalo litahusisha wabunge wanne kutoka kila jimbo wakiongozwa na gavana wao. Kwa hiyo bunge zima halitozidi wabunge 30, mawaziri sita watakuwa wabunge automatic. Hakuna wabunge wa viti maalum.
7) Kamati zote za bunge zitazokuwa formed zitahusisha watendaji wasio bungeni watu wenye fani zao na wenye sifa za kielimu na uzoefu katika fani zao. mbunge anaweza kuwa mwenyekiti tu wa kamati.
Hayo ni machache tu, tuendelee....