BSL
Member
- Dec 15, 2018
- 86
- 98
Nimesikia ya kuwa utaratibu mpya utatumika kwenye ufaulu wa mitihani ya kidato cha 4, 2019.hususani kupanga madaraja ya ufaulu,mfano
Daraja la kwanza,7 _14
Daraja la pili. 15_18
Daraja la tati 19_23
Daraja la NNE 24_28
Kuanzia hapo 00000
Je kuna ukwel wowote hapo Mwenye taarifa za uhakika atujuze
Daraja la kwanza,7 _14
Daraja la pili. 15_18
Daraja la tati 19_23
Daraja la NNE 24_28
Kuanzia hapo 00000
Je kuna ukwel wowote hapo Mwenye taarifa za uhakika atujuze