Mabadiliko vs ile ilee...

Mabadiliko vs ile ilee...

mkurugenzi1

Senior Member
Joined
Mar 22, 2009
Posts
122
Reaction score
28
Change doesn't come from Washington. Change comes to Washington. --- Barrack Obama.

mabadiliko yana hitajika kila kona na pembe ya dunia hii...wewe unatuambia chama chetu ni kile kilee ooohh ni kile kilee, CC... ni ile ileee oooo ni ile ile... maana yake ni kwamba hakuna jipya la kuwafanyia watanzania mawazo yako na watendaji wako na serikali yako bado itabaki kuwa ni ile ileeee oooh ni ile ileeee.

lazima tuwaachishe ziwa.
 
Mgombea ananiacha hoi pale anaposema TZ ya magufuli ni ya viwanda wati huohuo anakwambia nikiwa rais nitawaomba wawekezaji waje kuleta viwanda hapa vidogo na vikubwa, nikiwa rais elimu itakuwa bure wati huo anasema holewao watakao kula michango ya shule, Elimu ya chuo kikuu itakuwa bure wati huohuo anasema akiwa rais holewao watakaochelewesha mikopo ya wanafunzi.Sijui tufuate lipi na tuache, IT masaki/ lumumba tupeni ufafanuzi juu hayo labda nyie mnamuelewa.
 
Rais wenu ni JP Maguful. Whether anatokea ccm au Jahazi Asilia, lakini huyo ndo head of state
 
Atatoa elimu bure kuanzia chekechea hadi kidato cha nne. Pia atahakikisha michango inayotolewa na wazazi itasimamiwa vema,na atawachukulia hatua watakaotafuna michango ya shule......mwenye macho aone na mwenye masikio asikie!....Mungu atuepushe na janga hili.
 
CCM kila mbinu wanayopanga inawageukia na kuwa balaa kwao, sasa hii nyimbo yao waliiona kali sasa hivi inabidi waidefend kwanza ndo waiimbe
 
miaka hamsini na neema zote tulizo barikiwa...bado kuna watu wengi wanakula mlo mmoja, elimu chini, kilimo duni, maji taabu. kila kona ukipiga hodi ni madudu na uchafu. #mabadiliko
 
Back
Top Bottom