Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Prof. Palamagamba aula, Mwakyembe achukua nafasi ya Nape Nnauye

nawaza tu kwa mfano Nape akamkabidhi Mwakyembe ile report na Mwakyembe akaendeleza hii saga kwa kumkabidhi mkulu....nawaza tu
 
Ni kweli kabisa ila wasiwasi wangu wanaweza kufuta matokeo na wakatudanganya kwamba wamefuta uchaguzi.
 
Hii nchi ishakuwa ya kisengerema sasa.
Yani leo nina hasiraaaaaa
Dah ngoja tu nisiendelee kuchangia humu nisijeharibu
Hunizidi mm nifah bahati mbaya hapa ofsini kuna lijamaa lisukuma kila kitu linatetea, hasira zangu zote juu ya mkulu nazimalizia kwake
 
Naunga mkono hatua ya Rais. Nape kwa sababu za utoto wake alivika joho ambalo si size yake. Inakuwaje Waziri anaunda Tume bila idhini ya boss wake, anasoma repoti na kutishia kuwa atajiuzulu kama mambo hayakwenda unavyotaka. Collective responsibility iko wapi?
Alisema atajiuzuru km vyombo vya habari vitanyimwa uhuru na swala la kuunda tume lipo chini ya wizara yake sasa yy ndo boss wa iyo wizara unataka amshirikishe nani tena?
 
Nape we hata usifadhaike...
Bora umuachie baraza lake la mawaziri awaendeshe km wajinga...
 
We unadhani Nape hakufahamu kwamba hiki kingetokea?! Alichokataa Nape ni kuendelea kumtumikia Dikteta lisilo na aibu ambalo lipo tayari kufanya lolote kumlinda mtu ambae anaaandamwa na kashifa kila kukicha!!!

Kuna wengine amewatumbua kwa sababu za kijinga kabisa lakini kumbe, kwenye serikali hiyo hiyo wengine hawaguswi!! Nani anayejitambua amaweza kuwa tayari kuwa sehemu ya udhalimu kama huo!!!

But all in all, wengine tunafurahi manake anaendelea kuionesha sura yake halisi ambayo Matomaso walikuwa hawaioni!!!
Nape sought to fight coz Makonda alikuwa hasimu wake tangu enzi za uvCCM, hakuwa ana fight haki, bali personality ya Makonda.

Nape ndio alipigana sana na kuumiza upinzani, alihakikisha hata goli la mkono linapatika just to serve his masters. Leo unadhani amethubutu, wajinga ndio tunaopigwa kila siku
 
haya sio mambo ya kushabikia wala kufurahia hii inaonesha mkuu ana tatizo na ni wakati sasa wananchi kwa ujumla tuseme hatukubaliani tusiposema leo kesho kitafanywa kitu kikubwa zaidi tutazitamani siku za uhuru wetu na maisha yetu ya haki
yani watu watumie vyeo na mabavu kufanya maovu mkuu wa nchi akingie kifua?
hii si sawa

Wewe fanyakazi acha udaku!!
 
Hiki ndicho nilichokitegemea taasisi kubwa ya urais imevamiwa na mtu asiye na utashi WA uongozi wala hekima na kama mkilinyamazia kimya Hili basi Mengi yatajitokeza.
Pole nape nenda Baba juhudi zako tumeziona na tumekuheshimu..
 
Mi naona raha tu akiwaudhi CCM watamuekea nongwa kwan thabo mbeki ilikuaje magufuli hayuko juu ya chama
 
Back
Top Bottom