Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,886
- 38,515
nilikuaga namuunga mkono lakini sasa nishamchoka huyu mzee
mahaba haswa hata ya kihindi hayaoni ndaniteh teh teh....mahabaaaaa
Ni kweli nimemsikia Msigwa akizungumza Na Clouds FmKama mabadiliko niliyosikia ni kweli,
Pole Nape kuna watu na binadamu na hao ndio watu wenyewe, ulipigana sana ndani na nje ya chama chako ili Magufuli apate urais, ulipigana na mafisadi ili chama kiwe safi ukafanikiwa kumtoa Lowassa ili Magufuli awe rais, wahenga wakisema tenda wema nenda zako na shukrani ya punda ni mateke.
Hakika ni Mungu pekee ajuaye mwisho wa safari yetu kama nchi...!!!
upo mkuu....toka Lema ametoka gerezani umeadimika sanamkuu anajua mwakyembe ni mtu wa kujipendekeza, asie jiamini sasa amempeleka pale kwenda kuwatishia wana habari kama alivyojaribu kuwatisha mawakili, mwakyembe always ni mtu wa kutumika tu kwa maslahi ya wakubwa.
Mkuu Bagi huyu Daud sijui kampa nini yule mzee kipara, maana hata juzi kwenye ukurasa wake wa face book alimtahadharisha Nape kuwa ataondoka yeye na yeye atabaki, nini kinachomfanya huyu dogo ajiamini kiasi hiki?? Watanzania kazi tunayo.Duu nape ka pigwa chini kisa bashite.
Ukiweka ugoko Magu anakuwekea Jiwe. Nachompendea Magufuli sio mnafiki. Ukitaka battle unajibiwa papo kwa papo.
upo mkuu....toka Lema ametoka gerezani umeadimika sanamkuu anajua mwakyembe ni mtu wa kujipendekeza, asie jiamini sasa amempeleka pale kwenda kuwatishia wana habari kama alivyojaribu kuwatisha mawakili, mwakyembe always ni mtu wa kutumika tu kwa maslahi ya wakubwa.