Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,812
Sidhani kama Sizonje atafika 2020.
InsubordinationKatumbuliwa kweli kweli.....for sure u cant fight against your bosses
Ni sawa lakini hata kwenye kikao cha familia ambacho 'mwenyekiti' daima ni baba haimaanishi kwamba akikosea usimkosoe, huko ndio kujenga. Kumbuka Nape hajamkosoa rais bali hajaridhika na mienendo ya subordinate mwenzake kitu ambacho hata tulio na akili ndogo tunakiona.Kwenye nchi au hata nyumbani kwako kila mtu akiwa baba nyumba haitatawalika..safi sana magufuli maana ukimaliza mihula yako ya urais tutakuhukumu wewe..wala si waziri wala si spika wala si jaji mkuu.
Andamana hapa JF barabarani utavunjwa miguu dogo!Kama wanafunzi tu waliweza kuandamana kumng'ang'ania mwalimu wao aliyekuwa akiamishwa kinyemela.
Watanzania tunashindwa vipi kwa waziri aliyetuongoza kwa weledi na uaminifu uliotukuka
Kafa na ripoti yake mkononi
kabisa ni MSHINDINape Mungu atakulipa umeandika historia katika nchi hii. Mtukufu ni mmoja tu naye ni mwenyezi Mungu hawa wengine misukule tu
Hebu thibitisheni hili
hujui,jitambue.Ndio nini hiki sasa!??
Kwendeni huko. Imcost kisa Nape?This will going to cost Mr. President
Unatamani lakini mawaziri wetu hawatamaniNatamani mawaziri wote wajiuzuru ili aendeshe nchi yeye mwenyewe.
Kwani amesema uongo?Mw
Mwehu ni wewe unayebeba mabox huko!! Na ukome kuleta ujinga wako huo na kama unajiamini rudi Dar tuone kama utaendelea kuongea ujinga wako huo!