Borderlandz
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 548
- 729
Anguko la CCM kushuhudiwa hivi karibuni
Mawaziri wa dizaini za Mwakyembe hawatajiuzuru kamwe,Natamani mawaziri wote wajiuzuru ili aendeshe nchi yeye mwenyewe.
Hawawezi kufukuzwa ila uchaguzi ujao majina yao YATAKATWAMsukuma out, Bashe out, Nape out na uanachama wanafukuzwa. Kafumu na Vick uanachama wanavuliwa kumsumbua mtoto pendwa.
kabisa, ni shujaa na ana akili si kama vilaza hivi vingineNape ni shujaa amefanya majukumu yake kama waziri
Pamoja na lile bao lake la mkono bado shujaa wa Taifa?Nape ni Shujaa wa Taifa.
"Waziri Mkuu kwa jinsi alivyochukia hakusubiri hata barua yake ya kujiuzulu, alimteua mwingine wa badala yake" JKNDaaah KWA style hii safari bado sana
Ife Mara ngapi ndugu mbona ilishakufa kitambo Tangu kipindi hicho,sanaa ndio kabisa imezikwaKAMA NAIONA TASNIA YA MICHEZO INAVOKUFA
We bashite vp, kwani Clouds ni taasisi ya serikali?salaam ziwafikie clouds