Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Kuna mambo mengi sana nchi hii hayaendi, natamani ningepata uwaziri kwenye moja ya wizara ambazo mambo mengi hayaendi mfano upimaji wa miji na mipango miji, ningeondoa kila aina ya uzembe.
 
Makamba is too smart to work with the current crop of people including his top boss!
I'd say he's a misfit in this system.
 
Kwa hili nitamuunga mkono Rais Magufuli.... Mhagama na Ummy uwezo wao mdogo.... January kabaki kuuza sura na kutongoza mademu tu....

Nami nimeshashuhudia pale Protea akiwa na wafanyabiashara Haroon na Gonzaga wakipanga mipango ya kumhujumu Rais... Ni jumamosi iliyopita baada ya kutoka kwenye mkutano wa Bona Kaluwa

sijakuelewa vizuri,ulijuaje maongezi yao yalikuwa ni mipango ya kumhujumu Rais?unless ulikuwa mshiriki ungejuaje maongezi yanahusu nini?
 
January Makamba baada ya kupiga Zile bilion 1.7 katikati ya kampeni Magufuli alipagawa na kuapa kutomchagua kuwa Waziri pindi akiapishwa lakini alipewa shinikizo na Kinana na Kikwete kuwa January ndiyo alileta Utitiri wa wachakachuaji wa matokeo na kamati za Ufundi toka Gambia na kwingineko Duniani wakafanikisha ushindi wa goli za Mikono na kuingia ikulu hivyo hapaswi kuachwa nje ya safu , na sasa kaambiwa ampatie Wizara ya mambo ya ndani ili wautumie Vizuri kuwadhoofisha wapinzani , Magufuli atacheza na mawaziri wote lakini akisikia jina la January Makamba mwili humsisimka kabsa.
Nakubaliana na wewe mia kwa mia
 
Kuna mambo mengi sana nchi hii hayaendi, natamani ningepata uwaziri kwenye moja ya wizara ambazo mambo mengi hayaendi mfano upimaji wa miji na mipango miji, ningeondoa kila aina ya uzembe.
Wizara ya Ardhi wampatie mzungu uraia kisha apewe Ubunge wa kuteuliwa kisha awe Waziri wa Ardhi mshirikiane nae .
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.

1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.

Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.

Anaonaje haya mabadiliko ayafanye mara baada ya kuhakikisha Watanzania wote wamepata sukari ya kutosha ili akiwa anatutangazia basi tuwe tumeketi majumbani mwetu tunakunywa chai tamu na siyo chungu?
 
Makamba is too smart to work with the current crop of people including his top boss!
I'd say he's a misfit in this system.

Umesahau wale wachawi wa Baba yake?... Saizi nasikia kashamwita mganga wake kutoka Gambia aje kusawazisha mambo
 
Anaonaje haya mabadiliko ayafanye mara baada ya kuhakikisha Watanzania wote wamepata sukari ya kutosha ili akiwa anatutangazia basi tuwe tumeketi majumbani mwetu tunakunywa chai tamu na siyo chungu?
Mkuu Januaty hapendi kusikia kero ya sukari inamalizika mapema si unajua ni Mzee wa fursa kaitumia kupiga Dili za magendo hataki kusikia watu wanajadili muafaka.
 
Acheni kumvika kilemba cha ukoka January ,Kakatwa Lowasa na nchi imetulia ndio ije kuwa kwa huyu January ?
Watu wakiamua atakatwa na atatulia afungue mdomo tu halafu ataelewa nini maana ya kugusa chochote kinacho hatarisha usalama wa nchi





Waulize hao waliomkata Mh.Lowassa watakwambia jinsi wanavyohangaika na kivuli chake wakati mwenyewe katulia.Kila siku wanatembea na fagio kujaribu kufuta alipokanyaga,lakini wameshindwa.
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.

1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.

Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.
Aisee watu wametokota mapema sana. Kama hizo tuhuma za JM ni za kweli anatakiwa kukaa nje ya serikali haraka sana.
 
Waulize hao waliomkata Mh.Lowassa watakwambia jinsi wanavyohangaika na kivuli chake wakati mwenyewe katulia.Kila siku wanatembea na fagio kujaribu kufuta alipokanyaga,lakini wameshindwa.
Lowasa kafanya kipi kuhatarisha usalama wa nchi ?? Amekaa zake kimya ,sasa nawashangaa nyie mnaosema sijui January atamwaga ugali kisa anajua yote yaliyofanyika kwenye uchaguzi na Magufuli hana ubavu wa kumgusa ,

Wakiamua ataguswa na hana la kufanya huyo January
 
Back
Top Bottom