Mababu Mko wapi?, Upotoshaji huu Umezidi!!!

Mababu Mko wapi?, Upotoshaji huu Umezidi!!!

Ashelimo

Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
45
Reaction score
29
Alicho Andika Huyu jamaa Hapa Jamii forum ni upotoshaji kwa vijana na watu wengine ambao huheshimu uzoefu wa wengine.

Jamaa Kaandika haya:-

"Kwa bao la kwanza hapa tunaongelea dk 1 hadi 1 na nusu..

Sasa nguvu za kiume ni uwezo wa kuamsha dude fasta baada ya bao la 1...

Wenye nguvu za kiume kamili huwa wanaendelea kabisa bila kutoa.

Wenye nguvu moderate huwa wanapumzika kama dk 2.

Wale goi goi au wanaume wa dar wakipiga kamoja huwa wanapumzika hadi saa zima au masaa 24 kabisa..

Lakini hizi hadithi za alfrela ulela kwamba bao la kwanza mtu upige nusu saa huo ni uongo au ni editing kwa lugha ya kiaskofu..

Bao la kwanza physiological halizidi dk 5...ukizidisha hapo una ugonjwa na hatari ya kupata tezi dume kabla ya miaka 30"



Ukweli Kutokana na uzoefu wa Ten Dee [Man Himself]


"Raha utoe kwanza upumzike ilale kabisa ndio uanze Raundi ya Pili. Penzi sio kama bublish ni kama mua. Ukianzi tindini basi rahaaa hadi kwenye Shina. (Kibo, Juu kabisa) Ukiunganisha ni sawa na baada ya kufika shinani unaaza tindini ghafla. Havinogi hatah.

Kushikana shikana na kupandishana ashiki huongeza muda utumikao kwa raundi. Ukiiga Swaga za bwana Jogoo matokeo ni kama yake"

Almost Man himself natumia Dakika 3.5 hadi Sita kwa goli la kwanza. Lakini pia siku hazilingani

Wapuuze sana watu wanakusudia kukufanya ujione unamapungufu wakati unaamini unafanya vyema na mwandani wako haleti malalamiko. Kujiamini humjenga mwanaume.
Kuna pia Mashoga ambao ukweli wanatamani kuwa kama wewe na hilo hawawezi, Wanachofanya ni chokochoko tu. Si unajua wivu wa sizitaki mbichi hizi unavyokondesha?"
 
mababu wa jf mnaitwa huku.............................
 
mababu wa jf mnaitwa huku.............................
....hahahaa!...naamini kuwa sijafika huko kwa mkongojo lakini nipo kwenye nyakati zile ambazo shughuli inaweza ikawa ni mara mbili tu kwa juma na mimi na bibienu tuna Amani.
Niseme tu hivi...kuanzia nikiwa na miaka 30 hadi sasa, bao la kwanza likijumlisha na minjonjo ya kupinduana huku na huko ilikuwa lazima lifike, na halizidi, dakika 9 hadi 11.
Ningepumzika kwa angalau dakika 15 ambazo zingetumika katika kupiga mastori na kushikana shikana, niharakishe kusema hapa mazungumzo haya yasingejulimsha vocha, hela ya saluni wala shopping kwa ajili ya sikukuu inayofuata wala mchango wa harusi! Haya yalikuwa ni mazungumzo tu na mizaha mingi ambayo ingeweza kuwafanya mcheke na hata kugonganisha viganja. Mazungumzo ya mahaba kwa maana halisi....na kisha tungeingia awamu ya Pili, ambayo ingejumuisha ujuzi, uzoefu na mastaili yote, na ingetumia kati ya dakika 15 hadi 20 na baada ya hapo niliyekuwa naye kama alikuwa ni mtu wa kulala (Samahani MamaDesi!)
Basi awamu nyingine ingekuwa saa 10 alfajiri ya dakika 10 hadi 12 na saa 11 alfajiri ya dakika hizo hizo ya kuendea Kazini!
Tatizo la vijana wangu nyakati hizi za Dotcom mmeruhusu mitandao kuwa ndio Role Model wenu!
Kila mtu anataka awe kama star wa phono anayepump mbele nyuma vile vile toka 'ubungo stand hadi Chalize'..awe na Pipe lililokwenda Shule na kadhalika na kadhalika..
Katika hiyo chungulia yangu chache ya hizo video zenu mnazopenda sijaona hata moja niliyoona kijana wa kiume anamkatikia kiuno mwenza wake...naona 'mbele nyuma mbele nyuma' tu!!
Angalieni shughuli ya mtu mzima mwenzangu Mchunga Kondoo! Wenyewe mmeapriciate kwamba tackle zake zilikuwa zimekwenda Shule! Mnapodai kuwa amechukua dakika moja tu, mnajua alikoanzia?? Mna uhakika gani kwamba pale alikuwa amepumzikatu kidogo na lile taki ndio lilikuwa la kumalizia gemu tu. Acheni dharau kwa Watu Wazima
Kuna wakati mtu unapiga tako hadi kama mtu anakula chabo dirishani anajiuliza kama yale ni makalio yako ama ngumi, goti ama sura ya mtu !!!!
Kuna watu wanajua kujituma kunako, bwana!!!
Yote kwa yote niseme tu kuwa achaneni na hizi chunguzi za watalaamu wetu wa kidotcom zsizoisha.
Uchunguzi upo kwenye mwili wako mwenyewe. Ufanyie kazi
 
Bao la kwanza halina kanuni ya kudumu muda mrefu.
Umekashifiwa kwa dharau, na kuoneshwa wazi mwanamke hakutaki.

Umekataa kushindwa, ukajiongeza kwa kuuza chochote cha thamani, umepata hela ya kuhonga na kwenda kumrundikia zote huyo demu, sasa amekubali kwa nguvu ya ushawishi wa makuwadi.

Hasara aliyokusababishia iliyotokana na kuuza vitu kupata hela ya kumhonga na matusi aliyokubebesha wakati ukimsarandia hesabia.

Hauwezi kupata utulivu katika tendo tofauti na mtu uliyempata kustaarabu.

Utafanya kwa pupa kama unashindana na mtu.
Kadri utakavyofanya kwa pupa na kukakamaza misuli kwa hasira kama unaua, ndiyo uwezekano wa kujimaliza mwenyewe unapokuwa mkubwa.

Ni aibu kuhesabia ushindi bao la kwanza,
lihesabiwe faulo kama ni goli la mkono.

Kama ni ushindi uhesabiwe kuanzia goli la pili ambalo kiuhalisia mchezaji hufunga bao kwa akili baada ya kuusoma mchezo wa timu hasimu na huchukua muda mrefu.
 
....hahahaa!...naamini kuwa sijafika huko kwa mkongojo lakini nipo kwenye nyakati zile ambazo shughuli inaweza ikawa ni mara mbili tu kwa juma na mimi na bibienu tuna Amani.
Niseme tu hivi...kuanzia nikiwa na miaka 30 hadi sasa, bao la kwanza likijumlisha na minjonjo ya kupinduana huku na huko ilikuwa lazima lifike, na halizidi, dakika 9 hadi 11.
Ningepumzika kwa angalau dakika 15 ambazo zingetumika katika kupiga mastori na kushikana shikana, niharakishe kusema hapa mazungumzo haya yasingejulimsha vocha, hela ya saluni wala shopping kwa ajili ya sikukuu inayofuata wala mchango wa harusi! Haya yalikuwa ni mazungumzo tu na mizaha mingi ambayo ingeweza kuwafanya mcheke na hata kugonganisha viganja. Mazungumzo ya mahaba kwa maana halisi....na kisha tungeingia awamu ya Pili, ambayo ingejumuisha ujuzi, uzoefu na mastaili yote, na ingetumia kati ya dakika 15 hadi 20 na baada ya hapo niliyekuwa naye kama alikuwa ni mtu wa kulala (Samahani MamaDesi!)
Basi awamu nyingine ingekuwa saa 10 alfajiri ya dakika 10 hadi 12 na saa 11 alfajiri ya dakika hizo hizo ya kuendea Kazini!
Tatizo la vijana wangu nyakati hizi za Dotcom mmeruhusu mitandao kuwa ndio Role Model wenu!
Kila mtu anataka awe kama star wa phono anayepump mbele nyuma vile vile toka 'ubungo stand hadi Chalize'..awe na Pipe lililokwenda Shule na kadhalika na kadhalika..
Katika hiyo chungulia yangu chache ya hizo video zenu mnazopenda sijaona hata moja niliyoona kijana wa kiume anamkatikia kiuno mwenza wake...naona 'mbele nyuma mbele nyuma' tu!!
Angalieni shughuli ya mtu mzima mwenzangu Mchunga Kondoo! Wenyewe mmeapriciate kwamba tackle zake zilikuwa zimekwenda Shule! Mnapodai kuwa amechukua dakika moja tu, mnajua alikoanzia?? Mna uhakika gani kwamba pale alikuwa amepumzikatu kidogo na lile taki ndio lilikuwa la kumalizia gemu tu. Acheni dharau kwa Watu Wazima
Kuna wakati mtu unapiga tako hadi kama mtu anakula chabo dirishani anajiuliza kama yale ni makalio yako ama ngumi, goti ama sura ya mtu !!!!
Kuna watu wanajua kujituma kunako, bwana!!!
Yote kwa yote niseme tu kuwa achaneni na hizi chunguzi za watalaamu wetu wa kidotcom zsizoisha.
Uchunguzi upo kwenye mwili wako mwenyewe. Ufanyie kazi
tehteh gwajiboy,
shukurani kwa ujumbe maridhawa..........
long live jf ,,,
 
kikubwa kama natia mwanamke mimba hakuna shaka ata nisimamishe kwa nusu sekunde.
 
hahahaha vitu vingine tuwe tunajiongeza.kikuu kama unatia mwanamke mimba shida nini
 
Back
Top Bottom