Serikali ya CCM inalinda wapiga kura wake watiifu...na ndiyo maana tunaona waeneza chuki wakitamba bila kudhibitiwa...yana mwisho haya...!Serikali ilipuuza kwasababu wanamaslai na udini kwenye hili taifa. Due to that ni lazima tujipange kukabiliana na udini huu.
Ujumbe wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania(TEC) uliotolewa na maaskofu hao baada ya kikao chao cha mkutano wa 65 uliofanyika Kurasini DSM na kusomwa na Rais wa TEC Mhashamu Thaddaeus Ruwa'achi (sasa amemaliza muda wake) unasema kwa nyakati tofauti wameziandikia mamlaka husika (serikali) na kushauri namna ya kuzuia kuibuka vurugu za chuki za kidini wakapuuza na sas madhara hasi yanaonekana.
source :kiongozi 6-12 july 2012
na wewe si ukwepe kama unaweza!Wakwepa KODI through MOU! Hamna lolote!
nadhani wangalitoa UFAFANUZI WA MABILION YA MOU yanatumika vipi huku hosptal zao zikigoma. hapa watz tutamuelewa[/QUOTE
kukumbuka katika hiyo MOU, mojawapo ya vipengele ni pamoja na serikali kuwalipa madkatari bingwa, na baadhi..ndio maana wale wanaolipwa na serikali, ndio waliogoma, but wale walioajiriwa na hizo taasisi za dini hawajagoma....sio kukwepa kodi.. mbona huzungumzii shule binafsi ambazo sio za mashirika ya dini, na kodi hawalipi? acha chuki binafsi mkuu...
nadhani wangalitoa UFAFANUZI WA MABILION YA MOU yanatumika vipi huku hosptal zao zikigoma. hapa watz tutamuelewa
Jiulize ni nani kati ya Serikali ya Mwinyi(1992) au Kanisa aliyemnyemelea mwenzake na hivyo kusababisha kusainiwa kwa MoU? Na ukilijua hilo utajua pia sababu ya kusainiwa kwa MoU na hayo malalamiko yenu yote mnatakiwa kuyapeleka kwa serikalini tu... Lakini kwa sababu za chuki zenu za kidini mbaya wenu siku zote ni Kanisa tu...Bugando Medical Centre
Address: Bugando Medical Centre, P.O. Box 1370, Mwanza
District and Region: Mwanza District, Mwanza Region
Tel: 028 (068) 1 60410
Fax: 028 1 42392
e-mail: <bugando@africaonline.co.tz>
History
A Zonal Consultant and teaching hospital which is owned by the Tanzania Episcopal Conference. It was build between 1968 and 1971 by Misereor. It was operated by the government of Tanzania until 1985 when it was handed back to the Trustees of TEC.
Chuki tu ndugu yangu zimewatawala hao...Yaani badala hata ya kuwashukuru hao waajiriwa wa taasisi za dini na wenyewe wanawekwa kwenye mgomo...mbona juzijuzi hapa ITV walionyesha masister wa bugando wakiwa wanatoa huduma...!?nadhani wangalitoa UFAFANUZI WA MABILION YA MOU yanatumika vipi huku hosptal zao zikigoma. hapa watz tutamuelewa[/QUOTE
kukumbuka katika hiyo MOU, mojawapo ya vipengele ni pamoja na serikali kuwalipa madkatari bingwa, na baadhi..ndio maana wale wanaolipwa na serikali, ndio waliogoma, but wale walioajiriwa na hizo taasisi za dini hawajagoma....sio kukwepa kodi.. mbona huzungumzii shule binafsi ambazo sio za mashirika ya dini, na kodi hawalipi? acha chuki binafsi mkuu...
Wakwepa KODI through MOU! Hamna lolote!
Wakwepa KODI through MOU! Hamna lolote!