Maaskofu Tanzania watoa Tamko, wakemea udini, ukanda na ukabila!

AshaDii kama vile umewah kusoma biblia.
ngoja nikupe mfano wa kisa cha kweli kwenye biblia, mfalme wa Israel Yehoshefati aliwah kupata waraka toka kwa wafalme ambao ni Moabu, wameuni na amoni walikuja kupigana na Yehoshefati. sasa walikuja wajumbe kumletea ujumbe kwamba wanakuja watu kupigana na wewe. yehoshefati alichofanya alisimama madhabahuni pa bwana na kumwadhimisha Mungu akamsihi Mungu awasikie mabaya yasiwapate na awaokoe na upanga wa adui. basi Mungu toka patakatfu pake alisikia akamwambia nendeni mbele yako msibebe silaha ila muimbe na kusifu mtauona waokovu wangu. basi waliiskia sauti ya Mungu waakenda mbele kwa kuimba na kusifu wale maadui wakapigana wao kwa wao hadi wakauana na kupotea hakuna mwisrael aliyeuwawa ama kauumizwa.

sasa kwa mantiki hii napata hisia kwamba sio kwamba waisam ndio maadui zetu bali kikundi cha wahuni fuan ambacho sasa wakristo walipaswa waende mbele za Mungu kwa sala na kusifu Mungu awaondoe wale adui zetu katikati yetu. ila haya wanayoyasema ni kuita uchochez utaona kesho utaskia waislam wakitoa tamko juu ya hili.
nenda soma 2nyak20:1-19. utaelewa ninachomaanisha

wawarudishie wakristo shule zao, hospitali zao kisha wavunje MoU, waone tiba za kuzibua mkojo zitakavyowatesa, waone kiwango cha ujinga miongoni mwao kitakavyotamalaki, serikali itekeleze mapendekezo iliyopewa, ni rahisi sana.
 
Last edited by a moderator:
Siyo kuvunja tu MoU mnatakiwa kurudisha pesa yote toka mwaka 1991 mpaka 2013 hesabu zitapigwa. Hakuna mtu anayetibiwa bure kwenye hosptial za makanisa.

Sasa kama hospital za serikali hutibiwi bure unataka utibiwe bure kwenye hospital ya kanisa?? Acha umajinuni wewe
 
Ni kwamba mwishoni mwa mahubiri ya jana usiku Baba askofu alisema wakristu tunahitaji kufunga na kufanya maombi kwa ajili ya nchi yetu sababu kama chokochoko za udini zikiendelea na kuleta maafa kuirudisha amani iliyopotea ni kazi sana... Na akatoa mfano jinsi hawa ndugu zetu jinsi wanavyochochea vurugu hizi na serikali inavyokaa kimya akatoa mfano wa redio moja ya kiislamu na gazeti jinsi wanavyoeneza chuki juu ya uislamu kwa wakristo..na kuna ushahidi wa Cd na dvd hawa ndugu zetu ajenda wanazoeneza juu ya ukristo...lakini wakristo ndugu zangu vita hi tutaishinda kwa maombi na kufunga pamoja na kufanya toba na si kwenda kulipa kisasi au ku2mia nguvu.
 
habari ilipaswa kusomeka hivi. Jumuia ya chadema yatoa tamko kupitia kiongozi wao shao. Wamuunga mkono muasisi wao mtei juu ya wajumbe wa tume ya katiba.

Mkuu hivi unategmea Askofu Shayo atakuwa anawakilisha chama gani, hivi unajua kama Mbunge wa Iringa mjini kupitia Chadema kitaaluma ni mchungaji, mbunge wa Karatu kitaaluma naye ni mchungaji, Dr Slaa kitaaluma naye ni Padri. Unategemea nini.
 
wawarudishie wakristo shule zao, hospitali zao kisha wavunje mou, waone tiba za kuzibua mkojo zitakavyowatesa, waone kiwango cha ujinga miongoni mwao kitakavyotamalaki, serikali itekeleze mapendekezo iliyopewa, ni rahisi sana.

tusubiri tuone!!
Mie najipanga kurusha dongo hapa we subiri uone
 
Udini tayari upo wazi hakuna tena kujificha kama viongozi wa dini wameamua kuongea haya basi tena tujiandae na lolote litakalotokea.

Tena wale wa IGUNGA msikitini kipindi kile cha uchaguzi ndiyo walipigilia mstari swala hili la udini. Tangu kipindi kile wenzio tulishajiandaa kwa lolote.
 
lakin bado mm nina maswali mengi kichwan mwangu,
je kwann hadi maaskofu waseme haya?? je ni kwamba hawana imani na hali ya amani iliyopo?? ni kwamba kuna kuonewa ambapo wamekuona ama ni nini?

je hivi kama wakristo wakikaa kimya wasijibu hoja hata moja ingekuwaje ama wasitoe tamko?? na je hivi mungu wa kikristo huitaj mtu kumtetea hadi wakawajibu waislam hoja zao??

Binafsi Askofu wangu Martin Shao hukukaa rohoni. Simbezi ila kwa wanaonielewa watanielewa tu, alichopaswa kusema ni kwamba sasa wakristo tukaze goti tusali Mungu aliye juu ya yote atajidhihirisha kwa wakati wake. tena angesoma habari za yehoshafati wala asingepotez muda kuongea hayo bali angeikabili madhabahu kwa sala za kumwita Mungu aonekane kwa wakati anaotaka.
ushauri wako unatofauti gani na wale wanafunzi wa pugu(formVI)waloacha kufanya mitihani wakisema Yesu atawafanyia?au wale wasabato masalia walotaka kwenda kuhubiri injili ulaya na kwenda airport bila visa eti Mungu/Yesu atawawezesha kusafiri?!?
Viongozi wa makanisa(maaskofu) si malaika na labda sio super-humans ila unafanya makosa kufikiri kwamba hayo unayofikiri walitakiwa kufanya hawayajui na hizo habari za kwenye bible hawazijui...japo simaanishi pia kuwa huruhusiwi kutoa maoni yako!!
 
Hao watumishi wa idara za serikali na mahakama anaowataja tayari walishakuwa viongozi waandamizi kwenye idara husika kabla ya rais Kikwete hajaingia madarakani.Kwa mtazamo wangu ni yeye huyo muhubiri ndio mdini na leo hii amemua kuonyesha ulimwengu kuwa nchi hii ni mfumo kristo kwa kutopenda kuona waislam kwenye nafasi za uongozi.

sasa hata kama walikuwepo tangu kuumbwa kwa dunia hiyo inasababisha awe amesema uongo, kama walikuwepo na si kwa usawa kwanini JK asirekebishe.

jipange usikurupuke
 
Kama viongozi wa ki dini nao wameanza mipasho ya kidini tutegemee nini?
 
Mkuu hivi unategmea Askofu Shayo atakuwa anawakilisha chama gani, hivi unajua kama Mbunge wa Iringa mjini kupitia Chadema kitaaluma ni mchungaji, mbunge wa Karatu kitaaluma naye ni mchungaji, Dr Slaa kitaaluma naye ni Padri. Unategemea nini.
Na Mchungaji Mwanjali na Getrude Lwakatare je? Askofu Kulola nae mbona humsemi ni wa Chama gani?
 
Siyo kuvunja tu MoU mnatakiwa kurudisha pesa yote toka mwaka 1991 mpaka 2013 hesabu zitapigwa. Hakuna mtu anayetibiwa bure kwenye hosptial za makanisa.


kwa kuwa zilikuwa zimehifadhiwa benki hazifanyi kazi na hata zikirudishwa sijuwi atakula nani maana mpaka leo Za EPA zinarudi na

zinakoishia haijulikan. Vyovyote vile mkataba wowote kisheria huwa na muongozo inapotokea mafarakano-terms of reference

zitapatikana huko.

Mimi sishabikii jambo hili maana mwisho wa siku ni watanzania kwa ujumla wao ndiyo watako athilika. Kushabikia

utengano na ubaguzi ni kufuata na kutii mamlaka ya shetani, kwani kupendana na kuishi kwa amani pamoja ndiyo

maelekezo ya muumba wetu yaani MUNGU
 
Sasa kama hospital za serikali hutibiwi bure unataka utibiwe bure kwenye hospital ya kanisa?? Acha umajinuni wewe

Sasa hizo pesa za MoU mnachukuwa za nini wakati hospital zenu za kanisa mnafanya biashara kama siyo ufisadi ni nini.
 
christmas ni siku ambayo wakristu wanakumbuka kuzaliwa kwa masiah yesu kristu.
hii nbi nsuiku ya kwanza ya kalenda ya kikristu, kama tamko hilo limetolewa leo bila shaka utakuwa mwaka wa mapambano.
 
kwa kuwa zilikuwa zimehifadhiwa benki hazifanyi kazi na hata zikirudishwa sijuwi atakula nani maana mpaka leo Za EPA zinarudi na

zinakoishia haijulikan. Vyovyote vile mkataba wowote kisheria huwa na muongozo inapotokea mafarakano-terms of reference

zitapatikana huko.

Mimi sishabikii jambo hili maana mwisho wa siku ni watanzania kwa ujumla wao ndiyo watako athilika. Kushabikia

utengano na ubaguzi ni kufuata na kutii mamlaka ya shetani, kwani kupendana na kuishi kwa amani pamoja ndiyo

maelekezo ya muumba wetu yaani MUNGU

Tena zitapigiwa na riba ni pesa zetu sisi watanzania.
 
Unataka ikanushe kuwa hakuna
MoU kati ya Serikali na Kanisa?! ikanushe kuwa NECTA haiwahujumu
Waislamu? zaidi ya 75% ya wabunge ni Wakristo? zaidi ya 75% ya mawaziri
ni Wakristo?!..
We nae wa ajabu kweli kwani hao wabunge wanachaguliwa na wakristo peke acha ujinga.
 
AshaDii kama vile umewah kusoma biblia.
ngoja nikupe mfano wa kisa cha kweli kwenye biblia, mfalme wa Israel Yehoshefati aliwah kupata waraka toka kwa wafalme ambao ni Moabu, wameuni na amoni walikuja kupigana na Yehoshefati. sasa walikuja wajumbe kumletea ujumbe kwamba wanakuja watu kupigana na wewe. yehoshefati alichofanya alisimama madhabahuni pa bwana na kumwadhimisha Mungu akamsihi Mungu awasikie mabaya yasiwapate na awaokoe na upanga wa adui. basi Mungu toka patakatfu pake alisikia akamwambia nendeni mbele yako msibebe silaha ila muimbe na kusifu mtauona waokovu wangu. basi waliiskia sauti ya Mungu waakenda mbele kwa kuimba na kusifu wale maadui wakapigana wao kwa wao hadi wakauana na kupotea hakuna mwisrael aliyeuwawa ama kauumizwa.

sasa kwa mantiki hii napata hisia kwamba sio kwamba waisam ndio maadui zetu bali kikundi cha wahuni fuan ambacho sasa wakristo walipaswa waende mbele za Mungu kwa sala na kusifu Mungu awaondoe wale adui zetu katikati yetu. ila haya wanayoyasema ni kuita uchochez utaona kesho utaskia waislam wakitoa tamko juu ya hili.
nenda soma 2nyak20:1-19. utaelewa ninachomaanisha

gfsonwin,
Unamsahau na Bwana mdogo DAUD? Naye alipiga magoti kuomba katika Timbwilitimbwili lile maarufu na JemaDARI Goriath? Bwana Mungu mwenyewe ndo anaongoza kwa kutoa Vichapo..au umesahau?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom