gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
lakin bado mm nina maswali mengi kichwan mwangu,
je kwann hadi maaskofu waseme haya?? je ni kwamba hawana imani na hali ya amani iliyopo?? ni kwamba kuna kuonewa ambapo wamekuona ama ni nini?
je hivi kama wakristo wakikaa kimya wasijibu hoja hata moja ingekuwaje ama wasitoe tamko?? na je hivi mungu wa kikristo huitaj mtu kumtetea hadi wakawajibu waislam hoja zao??
Binafsi Askofu wangu Martin Shao hukukaa rohoni. Simbezi ila kwa wanaonielewa watanielewa tu, alichopaswa kusema ni kwamba sasa wakristo tukaze goti tusali Mungu aliye juu ya yote atajidhihirisha kwa wakati wake. tena angesoma habari za yehoshafati wala asingepotez muda kuongea hayo bali angeikabili madhabahu kwa sala za kumwita Mungu aonekane kwa wakati anaotaka.
je kwann hadi maaskofu waseme haya?? je ni kwamba hawana imani na hali ya amani iliyopo?? ni kwamba kuna kuonewa ambapo wamekuona ama ni nini?
je hivi kama wakristo wakikaa kimya wasijibu hoja hata moja ingekuwaje ama wasitoe tamko?? na je hivi mungu wa kikristo huitaj mtu kumtetea hadi wakawajibu waislam hoja zao??
Binafsi Askofu wangu Martin Shao hukukaa rohoni. Simbezi ila kwa wanaonielewa watanielewa tu, alichopaswa kusema ni kwamba sasa wakristo tukaze goti tusali Mungu aliye juu ya yote atajidhihirisha kwa wakati wake. tena angesoma habari za yehoshafati wala asingepotez muda kuongea hayo bali angeikabili madhabahu kwa sala za kumwita Mungu aonekane kwa wakati anaotaka.