Maaskofu Katoliki watoa waraka mwingine 2010

Ccm waliamini wakiimaliza chadema na wakina lissu basi hamna wakosoaji ndo kwanza wanaibuka wapya mjiandae kisaikolojia huwezi kuongoza watu zaid ya million 40 kama familia yako kila mmoja anawazo lake tofaut
anacopy Rwanda kanchi ka watu mil5 wote wanajuana
 

Awamu hii ni kusifia tu ukosoaji unatuvunjia amani yetu.
 
Wapo kimya sio kwa kumlipizia kisasi ila ni kuhofia their fate kama wakichagua upande
 
Labda tuseme hivi kakobe mwanzo alikosea sasa amepatia, na pengo mwanzo alipatia sasa amekosea
 
Wapo kimya sio kwa kumlipizia kisasi ila ni kuhofia their fate kama wakichagua upande

Kanisa Katoliki halijawahi kuogopa superpower na ndilo lililoangusha Roma Empire, haliwezi kuogopa nchi changa.
 
Aaaah ivi aya yote yanatoka wapi Kwan kutubu ni sh ngapi jamani?
 
"Huwezi kulinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguu" Bishop Kilaini.
 
kama kweli alikosea, kumbe maaskofu wetu wanalipiziana kisasi hata kama wanaona mambo yanaenda mrama!!!!
ni wakati wa kushikamana...umoja wetu ndio nguvu yetu. Tukilala sasa tutalaliwa daima.
 
Pengo na baadhi ya wakatoliki wanajulikana kabisa ni wanafiki.

Pengo alishapoteza moral authority ya kukemea jambo lolote. Kilaini ni fisadi wa escrow. Kati ya watu wanaotakiwa kuaa jela na kina Ruge Kilaini na baadhi ya maaskofu wa katoliki wanatakiwa kua jela.

Pengo alikua mkali kwa sababu aliekua rais hakuna mtu wao, hakua mpokea ekaristi takatifu. Baadae pengo la kilaini wakapoozwa mlungula wa escrow wakanyamaza kimia.

Pengo akaja kuibukia kwenye katiba mpya, akaharisha aliyoyaharisha kila mtu anajua.
 
Labda tuseme hivi kakobe mwanzo alikosea sasa amepatia, na pengo mwanzo alipatia sasa amekosea

Yeye anashambulia usalama wa TAIFA wakati ni kikundi badala ya kushambulia hoja. Sasa toka lini dini zikaogopa usalama wa taifa lolote.
 
Ukipita kwenye ZEBRA usisahau kuwasha ''Hazard'' na kusimama kwa dk 4.
 
Mbona Pengo nae yuko kimya leo hii?

Polycarp anaanzaje kumkemea Joni?

Sasa hivi tunasikia Kinafiki Kelele za Askof Mmoja Mmoja Kwanini hawatoi nyaraka rasmi za Kanisani Kama wakati ule wa 'Mdini na dhaifu wa Bagamoyo'?
 
Mkuu MODS, hii thread ya KAKOBE inapoletwa huku inakuwa shida ku-connect na mambo ya juzi. Watadhani ni mambo ya mwaka 2010.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…