neno ni upanga
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 682
- 2,293
Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba.
Mithali 28:1
Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;
1 Samueli 2:9
Basi, iwapo watu waovu wamemwua mtu mwenye haki kitandani mwake, je! Sasa nisitake zaidi damu yake mikononi mwenu, na kuwaondoa ninyi katika nchi?
2 Samueli 4:11
Lakini macho ya waovu yataingia kiwi, Nao hawatakuwa na njia ya kukimbilia, Na matumaini yao yatakuwa ni kutoa roho.
Ayubu 11:20
Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.
Mithali 4:19
Mithali 28:1
Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;
1 Samueli 2:9
Basi, iwapo watu waovu wamemwua mtu mwenye haki kitandani mwake, je! Sasa nisitake zaidi damu yake mikononi mwenu, na kuwaondoa ninyi katika nchi?
2 Samueli 4:11
Lakini macho ya waovu yataingia kiwi, Nao hawatakuwa na njia ya kukimbilia, Na matumaini yao yatakuwa ni kutoa roho.
Ayubu 11:20
Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.
Mithali 4:19