kwa hali halisi iliyopo Tanzania kwasasa ni dhahiri tunakoelekea kubaya hata hao Polisi ni miongoni mwa waathirika sijui nani atamzuia mwenzake itapofikia watanzania wakawa na kauli moja ya 'tunataka mabadiliko' hii harufu inanukia dhahiri, hili la G'mboto wote ni waathirika