micksawe Member Joined Nov 23, 2011 Posts 9 Reaction score 0 Nov 23, 2011 #1 Naona kuna haja ya vyama vya siasa hasa chadema na nccr wakae pamoja na kuona swala la KATIBA simchezo. Ni la nchi nzima na ni kwa manufaa nchi. Maandamano na uvunjivu wa AMANI hayana nafasi jinsi unyeti wa katiba ulivyo. Watuachie sisi wananchi tutoe maoni yetu.
Naona kuna haja ya vyama vya siasa hasa chadema na nccr wakae pamoja na kuona swala la KATIBA simchezo. Ni la nchi nzima na ni kwa manufaa nchi. Maandamano na uvunjivu wa AMANI hayana nafasi jinsi unyeti wa katiba ulivyo. Watuachie sisi wananchi tutoe maoni yetu.
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,662 Nov 23, 2011 #2 maandamano sio uvunjifu wa amani.youare wrong.