Cyclopedia
Member
- Nov 11, 2015
- 25
- 41
Kibinafsi sikuunga mkono maandamano ya D9 kwa sababu zifuatazo:
1: Niliamini hakuna atakayeweza kutatua yale yote tuyatakayo ikiwepo samia kujiuzuru.
2: Mfumo uliopo sasa unaipa nguvu CCM kufanya walitakalo tena bila kupingwa hivyo kuandamana ni sawa na kazi bure kikubwa ni ku-risk maisha.
3: Hao tunaotaka wachukue nchi ukichunguza kiundani ni makada wa CCM so hatutakuwa tumesolve tatizo. (jwtz)
4: Kwanini tuandamane wakati kama tunavyosikia/Tunavyojionea kuwa Samia anachunguzwa na ICC tusubiri kwanza mahakama hiyo ije na raarifa ndo tujue cha kufanya.
NIONACHO MIMI..
Kwa sasa tufocus kupigania katiba mpya yenye mabadiliko ya 100% kama ilivyopendekezwa na warioba hili ndo litakuwa muarobaini wa matatizo yaliyopo Tanganyika kwa sasa.
Na mwisho napenda Tanganyika ifufuke toka mavumbini.
1: Niliamini hakuna atakayeweza kutatua yale yote tuyatakayo ikiwepo samia kujiuzuru.
2: Mfumo uliopo sasa unaipa nguvu CCM kufanya walitakalo tena bila kupingwa hivyo kuandamana ni sawa na kazi bure kikubwa ni ku-risk maisha.
3: Hao tunaotaka wachukue nchi ukichunguza kiundani ni makada wa CCM so hatutakuwa tumesolve tatizo. (jwtz)
4: Kwanini tuandamane wakati kama tunavyosikia/Tunavyojionea kuwa Samia anachunguzwa na ICC tusubiri kwanza mahakama hiyo ije na raarifa ndo tujue cha kufanya.
NIONACHO MIMI..
Kwa sasa tufocus kupigania katiba mpya yenye mabadiliko ya 100% kama ilivyopendekezwa na warioba hili ndo litakuwa muarobaini wa matatizo yaliyopo Tanganyika kwa sasa.
Na mwisho napenda Tanganyika ifufuke toka mavumbini.