chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,824
kapitie historia ya netanyah kwanza.halafu urudi ku comment mkuu.Acha ujinga ww unadhani hizo nchi zinaongozwa na mawazo za mtu mmoja kama nchi za bara la giza?
Israel ni nchi inayo ongozwa na mfumo imara na haitegei mtu mmoja ili kuwa Imara.