Maandamano yaendelea huko Marekani

Kisu Cha Ngariba

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
22,133
Reaction score
48,858
Maandamano ya kupinga ukatili dhidi ya watu weusi yameendelea kwenye mji wa Atlanta.
Maandamano haya yameanza siku chache baada ya mauaji ya watu wawili weusi yaliotekelezwa na polisi.
 
Wanaandamana nini sasa wakati na wao WAMEUA polisi weupe?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…