bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Waandishi wa habari mkoani Iringa wamefanya maandamano yao kuelekea kwa MKUU wa MKOA kwa lengo la kulalamikia kunyanyaswa na Ofisa Habari wa Mkoa huo. Moja ya malalamiko yao ni kunyimwa posho wakati wa safari za viongozi mbalimbali mkoani humo. Nawaleteeni picha soon. TAFAKARI, CHUKUA HATUA!