Wana Jf naomba kujuzwa haya maandamano yataanza lini ninayasubiri kwa hamu sana tumechoka na ufisadi inauma sana jinsi watu hawa wanavyo tufanyia.
Porojo tupu. Hakuna maandamano wala nini.
Mmesahau ya Mwingereza na kundi lake?
Next week ninanuka.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us