Wakuu tumeipa serikali mwenzi mmoja wa kutafakari na kushusha bei ya umeme na kama ikishindikana basi hakuna jinsi ya kufanya zaidi ya maandamano na kuanza kuhujumu rasilimali za Tanesco hili shirika life kabisa kwani limeshindwa kututhamini sisi Watanzania na linajiendesha kisiasa zaidi.
Ongezeko la bei ya umeme ni pesa ya kuwalipa DOWANS
Ongezeko la bei ya umeme ni pesa ya kuwalipa DOWANS