The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 609
- 1,574
Wakuu ni siku ya tatu leo Madagascar hali si shwari kabisa,kumbuka jana Waziri wa nishati alishaliwa kichwa kunusuru malalamiko ya Wandaamanaji lakini bado haijasaidia kitu.
Soma pia >> Gen Z Madagascar waandamana dhidi ya kukatika kwa umeme na ukosefu wa maji
Naona kuna muamko mkubwa kwa vijana juu ya kupigania maslahi ya nchi zao.
Soma pia >> Gen Z Madagascar waandamana dhidi ya kukatika kwa umeme na ukosefu wa maji
Naona kuna muamko mkubwa kwa vijana juu ya kupigania maslahi ya nchi zao.