Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 733 Sep 30, 2009 #1 CUF demonstration is currently under way, from Buguruni to Mnazi Mmoja and to the registrar's office.... wenye updates tuhabarishine
CUF demonstration is currently under way, from Buguruni to Mnazi Mmoja and to the registrar's office.... wenye updates tuhabarishine
H HM Hafif JF-Expert Member Aug 16, 2009 1,359 20 Sep 30, 2009 #2 maandamano yalifanyika na yalipokelewa viwanja vya kidongo chekundu. Risala ilisomwa na Mh Juma Duni na Prof pia aliunguruma.
maandamano yalifanyika na yalipokelewa viwanja vya kidongo chekundu. Risala ilisomwa na Mh Juma Duni na Prof pia aliunguruma.
P Patrick Nyemela JF-Expert Member Nov 25, 2008 332 26 Sep 30, 2009 #3 Je tutarajie mabadiliko yoyote ya maana baada ya maandamano haya?
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,108 115,842 Sep 30, 2009 #4 Hivi hili la kuandamana hamuoni haliiwasaidiii???? Cuf bora wakae waanzishe gazeti lao au radio au tv, vitawasaidia...
Hivi hili la kuandamana hamuoni haliiwasaidiii???? Cuf bora wakae waanzishe gazeti lao au radio au tv, vitawasaidia...
O Omumura JF-Expert Member Aug 20, 2009 476 18 Sep 30, 2009 #5 Wadanganyika bwana,watu wazima wenye familia zao wanaacha kufanya kazi za kujiongezea kipato wanaenda kuandamana na kumsikilza juma duni.
Wadanganyika bwana,watu wazima wenye familia zao wanaacha kufanya kazi za kujiongezea kipato wanaenda kuandamana na kumsikilza juma duni.