Maandamano ya CUF

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
CUF demonstration is currently under way, from Buguruni to Mnazi Mmoja and to the registrar's office.... wenye updates tuhabarishine
 
maandamano yalifanyika na yalipokelewa viwanja vya kidongo chekundu. Risala ilisomwa na Mh Juma Duni na Prof pia aliunguruma.
 
Hivi hili la kuandamana hamuoni haliiwasaidiii????
Cuf bora wakae waanzishe gazeti lao au radio au tv,
vitawasaidia...
 
Wadanganyika bwana,watu wazima wenye familia zao wanaacha kufanya kazi za kujiongezea kipato wanaenda kuandamana na kumsikilza juma duni.
 
Back
Top Bottom