ok vzur! kuandamana c dhan kama n njia nzur coz 2nakuta watanzania wenzetu wanakufa kwenye maandamano andken waraka 2.
Ww wangapi walipewa haki yao kwa njia ya maandamano ww.......usi shadadie vitu usivyo vijuaaaa bhna tafuta njia nyingneee maana pale mtaishia kuchungulia tuuu nafikiri leo hata getin hamtaruhusiwa kuingia mbna elimu yenu haiwakomboi wangapi wameandamna bongo hapa...kudai haki zao kimya mpaka leo sembuse nyie pigen kelele hapa JF lakini utaambulia kunawaaa.....magari ya kifahali wataendesha maana ni wafanyakazi wameajiriwa....msitake kutwambia kuwa kipindi cha kugawa mkopo wa elimu ya juu shughuli zote zisimame eti hela iende kwa wanafunzi....ili mkifika chuo mkalewe kwa hela ya serikali....mkahonge dada zetu kwa hela ya serikali fyooooo najua ww unanichukia kwa kusema ukweli lakin daima mm nitakuwa mkweliiiiii huwezi pata haki ako kwa maandamano hapa bongooooooo never unashida nenda kaombe kwa upoleeeeeeeeee......leo si ndo imefika ngoja cc watazamaji tusubiriiiiiiiii
Hakuna kurudi nyuma vijana wenzagu kesho ntachukua makamanda wa Mazense tuje kuwaunga mkono.
rudsha hizo pesa uokoe kijana mmoja apate nayeyeNakumbuka kipindi nipo chuo niliteseka sana na hii kitu.mwaka wa kwanza nimpeta bila ya shida inakuja mwaka wa pili naambiwa huwezi kupata mkopo kisa eti nalipiwa na wizara ya fedha...imeniuma hadi leo siwezi sahau kwasababu nilienda kwny ofisi zao (heslb) kwa zaidi ya mara 15 bila ya msaada.
Acha tu..na mie sirudishi mkopo wao mpaka watakaponibaini nilipo shenzi hawa wanatusumbua na hela zetu.
Report kamili wameipata na barua zimesambazwa kwenye wizara huska, km ofisi ya waziri mkuu, waizara ya elimu, kesho mchakato unaendelea kama kawaida tu! Wizara ya Elimu pale, sector ya Elimu ya Juu!
vizur.
kwa hiyo kuna matunaini ya waliokosa kupata mkopo..?
matumaini yapo makubwa tu! Sema kinachonitia kichaa vijana hawaelewi haki zao za msingi, wengi 2liwaacha nyuma 2!
matumaini yapo makubwa tu! Sema kinachonitia kichaa vijana hawaelewi haki zao za msingi, wengi 2liwaacha nyuma 2!
Ni dhahiri inaumiza mabilioni ya fedha za walipa kodi wa nchi hii zinatumika katka matumizi yasyo rasmi, zimetumika pesa nyingi sana katika kamati ya kukusanya maoni ya rasmu ya katiba mpya, mwsho wa siku hakuna kitu kilichofanyika, Maelfu ya wanafunzi wanakosa mkopo wa elimu ya juu bila sababu ya msingi! Tukutane asubuhi ya Jumatano heslb! Julisha mwenzako! Solidarty forever!
Kwenye moja ya mabango yenu andikeni "serikali ikope fedha kwa ajili ya wanafunzi wake woote wanaokwenda vyuo vikuu kila baada ya miaka 4, mkopo huu utaweza kusomesha wanafunzi wote kwa miaka 4 mfululizo" Na kwa mnaokopeshwa mkumbuke kurejesha! hasa wale mnaojiajiri au kwenda sekta binafsi.
Huyu atakua mjinga fulani tu, achana nae. Then kuna dada pale bodi alikua kavaa gauni la chui chui hivi baada ya mkurugenzi kupigwa maswali. Wakawa anaondoka na mkurugenzi wake wanaingia ndani nikamfuata yule dada namsimamisha akajibu mbovu yan ilikua kidogo nimzabe makofi kwa hasira mana ameonesha wazi dharau ya hali ya juu ni Mungu tu alinipa moyo wa uvumilivu, mara vijana wakawa wanamfuata mkurugenzi kwa speed nikasikia askariiii zuia hawa. wakambilia ofisini kwao. Kesho ikibidi tutalala pale pale.
nilimuona huyo dada ,mweupe hivi nyodo kibao kwa kodi za wananchi ukicheki pale wamepaki magari ya kifahari kibao ,halafu sijui alikuwa anafanya kazi gani pale maana sikuona cha maana,,Aisee It's unfair mtu katumia nauli kutoka mikoani halafu majibu yao simple simple wale jamaa