Maandamano ya ajabu - polisi wapelekewa maiti

Kwa hivyo huyo mama mdogo ndo mtuhumiwa??
NCHI hii bana ina mambo.............
 

...ukute hapo kuna mjinga mmoja tu alimaka: "He! Mbona maiti anatoa machozi!!" Kosa. Kila mtu akadakia na hakuna alitaka kwenda against na jumuiya kwa kushauri maiti ipelekwe hospital ikapimwe vizuri. Ukute pia huyo wa kwanza kumaka hivyo ana uadui wa siku nyingi na huyo mama mdogo! yaani, tabu tupu wabongo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…