Michael Mwakyusa
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 306
- 55
Waandamane jinsi wapendavyo, ni haki yao bali la msingi waache kushambulia watu wengine na mali zao na waache kauli za uchochezi kuhamasisha uvunjifu wa amani.
Sidhani kama waislamu wangeamua kuandamana hata 24x7 wakitangaza uzuri wa Allah, Muhamad (SAW), Pepo, n.k. kwa mujibu wa imani yao kungekuwa na tatizo lolote.
Mwislamu ukihubiri Nabii Issa siyo Mungu hiyo ni sahihi kabisa kwani ndivyo Qur'an isemavyo. Lakini mwislamu unapoanza kuhubiri Yesu sio Mungu na kuanza kutafuta mistari ndani ya Biblia kuthibitisha hilo, hapo panakuwa na tatizo!
Jumuiya iliyosajiliwa kwa ajili ya kueneza dini inapoanza kuhubiri siasa kupitia mlango wa dini hilo nalo ni tatizo. Otherwise, nawatakia maandamano mema ya amani kwa ajili ya kuitangaza dini yao.
Wakiandamana uko basi nitakubaliana na wadau wanaosema hawa jamaa kuna kitu kimemiss kichwani.
si fikiri kama imeandikwa hivyo kwa aya hasi kwamba Nabii Issa , siyo Mungu, bali kwa aya chanya yenye kumuongelea Nabii Issa kama ni mojawapo wa Ma Nabii wa Mungu..
Mwislamu ukihubiri Nabii Issa siyo Mungu hiyo ni sahihi kabisa kwani ndivyo Qur'an isemavyo. Lakini mwislamu unapoanza kuhubiri Yesu sio Mungu na kuanza kutafuta mistari ndani ya Biblia kuthibitisha hilo, hapo panakuwa na tatizo!
i
Jana walikuwa wanapita mitaani na kutangaza kuwa "leo saa nane na nusu watakuwa na Mkutano mkubwa sana katika uwanja wa Mukendo na Kongamano hilo haliwahusu "Mayahudi" na "Wakristo" kwa jisi hali ilivivyo na mwenendo wa hawa jamaa kuonesha chuki za wazi wazi dhidi ya watanzania wenzao sijui nchi hii tunaelekea wapi??
Waandamane jinsi wapendavyo, ni haki yao bali la msingi waache kushambulia watu wengine na mali zao na waache kauli za uchochezi kuhamasisha uvunjifu wa amani.
Sidhani kama waislamu wangeamua kuandamana hata 24x7 wakitangaza uzuri wa Allah, Muhamad (SAW), Pepo, n.k. kwa mujibu wa imani yao kungekuwa na tatizo lolote.
Mwislamu ukihubiri Nabii Issa siyo Mungu hiyo ni sahihi kabisa kwani ndivyo Qur'an isemavyo. Lakini mwislamu unapoanza kuhubiri Yesu sio Mungu na kuanza kutafuta mistari ndani ya Biblia kuthibitisha hilo, hapo panakuwa na tatizo!
Jumuiya iliyosajiliwa kwa ajili ya kueneza dini inapoanza kuhubiri siasa kupitia mlango wa dini hilo nalo ni tatizo. Otherwise, nawatakia maandamano mema ya amani kwa ajili ya kuitangaza dini yao.