Maandamano makubwa ya waislamu Musoma mjini leo hii


Ni kweli Issah si Mungu lakini YESU ni Mungu.
 
tatizo lenu ndio ilo nani kakwambia musoma waislam ni wachache? watu wakisema tuesabiwe sensa pamoja na dini zao mnaanza kumbwela mbwela! LKN HUKO TUNAKOELEKEA KITAELEWEKA TU
 
.

Mwislamu ukihubiri Nabii Issa siyo Mungu hiyo ni sahihi kabisa kwani ndivyo Qur'an isemavyo. Lakini mwislamu unapoanza kuhubiri Yesu sio Mungu na kuanza kutafuta mistari ndani ya Biblia kuthibitisha hilo, hapo panakuwa na tatizo!

i
si fikiri kama imeandikwa hivyo kwa aya hasi kwamba Nabii Issa , siyo Mungu, bali kwa aya chanya yenye kumuongelea Nabii Issa kama ni mojawapo wa Ma Nabii wa Mungu.
 

Bangi ukivuta na jua kali zinateesaaa!. Hivi Mayahudi wanatoka wapi hapa TZ kama si ushetani?. Huu ni ujinga wa kuiga iga kila kitu!. Mpalestina anapoandamana dhidi ya myahudi anaeleweka. Wende shule hawa jamaa waache upuuzi!
 
Tatizo la kukimbilia Madrasa ndio hili kwa hawa wenzetu,pole yao sana.
 

Big up!!!
 
thubutu yake mbona mabomu yako ya kutosha tena ffu wanahamu sana maana hawafanya mazoezi muda mrefu!jokes! Mbali na hapo msm waisalamu wawe wengi wa wachache haisaidii kitu ndg zangu muhimi tujenge tanzania yetu yenye umoja na upendo kwa wote.
 
Sidhan kama uliwaza kw kina dudus ktk paragraph ya 3 eti "Yesu sio Mungu" Biblia iko wazi kuwa Yesu ni mwana wa Mungu hvyo ni MUNGU, Mungu mwenyew kathibisha ilo, Malaika, Mitume, Makuhani, Manabii na adi mapepo yamekil kua YESU ni Mungu. Soma Mathayo 3:17, 14:33, 17:5. Mark 3:24, 5:6-10, 8:27-29. Yhn 3:31-36, 18:28-38.
 
Last edited by a moderator:
Musoma na waislam???Waislam wa musoma mamba mmoja mwenye njaa kidogo anawamaliza wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…