Maandamano makubwa ya CHADEMA-ARUSHA

Maandamano makubwa ya CHADEMA-ARUSHA

Huyu JUMANNE MJUSI anawapeleka puta BAVICHA mpaka raha!
 
Tangu lini wauaji nao wakavamiwa na kupigwa usitudanganye kabisa nyie chadema mmezoea kupiga watu na kusingizia ccm mlirusha bomu soweto mkasingizia polisi.
Ssssm policccm mbona igp kimya
 
Haya maandamano Chadema wameyaitisha kwa ajili ya Mjusi?

mkuu. hayo maandamano ni kwa ajili ya mjusi.. chadema wanamuogopa sana. wakimuona tu makamanda wote wanatimua mbio.
 
mkuu. hayo maandamano ni kwa ajili ya mjusi.. chadema wanamuogopa sana. wakimuona tu makamanda wote wanatimua mbio.
Teh teh teh! Sasa wanakimbia nini tena wakati Lema kila siku anawalisha maneno kuwa hakuna dhambi mbaya kama uoga.
 
Madhara ya kupewa cheo kwa hisani,huwezi onesha weledi wako kikazi! Kwani huyo RPC na wenzake hawajaona kilichompata aliyekuwa mkurugenzi R.Mbunda na hata huyo mkurugenzi aliye ondoka! Kilichowachomoa ni kujifanya wanafuata haki!Kile Chama kingine hakipendi watu wanao penda haki.
 
IGP mpya safisha jeshi lako na tuhuma hizi za uhalifu maana aiwezekani waalifu walindwe na polisi hapo kuna walakini

Mimi naamini kuwa hapa si suala la polisi kusafishwa peke yake,kuna misingi imeanza kuanguka tena kwa kasi ajabu!!mfano msingi wa kuaminiana kati ya polisi na chadema umeporomoka,bila kukaa chini wakazungumza na kurudisha kuaminiana tusidanganyane kuwa kuna upande utaona kuwa haupo sahihi kwa madai yao!!

Mfano polisi wameshajenga dhana kuwa wanadharauliwa na chadema,inaweza ikawa ni kweli lakini naamini si kwa matukio yote,na chadema nao wameshaweka akilini mwao kuwa wanaonewa kila tukio!!kitu ambacho naamini kuwa si kwa matukio yote!!hatari zaidi ni pale kuna madai kuwa polisi kupitia kwa Ocd na Rpc wanaapa kupambana na chadema kwa gharama zozote zile,kama ni kweli (sina uhakika) ni hatari kwa amani ya nchi,hakuna sehemu yoyote katika dunia hii nguvu ya dola ilifanikiwa kuziba watu midomo.

Kinachotakiwa sasa ni pande mbili kuzungumza na kujenga kuaminiana,chadema wahakikishe wanatii sheria hata kama wanaziona zinawakandamiza kwani sheria hazibadilishwi kwa mapambano,na polisi kufanya kazi kwa misingi ya haki bila kupendelea kwani kuna matukio huwa yanaonekana ni kama vile wanatumika kuwabeba ccm,wajiweke kando na siasa.

Totauti na hapo akina mijusi wengi wataibuka na amani ya nchi itakuwa hatarini.
 
Mimi naamini kuwa hapa si suala la polisi kusafishwa peke yake,kuna misingi imeanza kuanguka tena kwa kasi ajabu!!mfano msingi wa kuaminiana kati ya polisi na chadema umeporomoka,bila kukaa chini wakazungumza na kurudisha kuaminiana tusidanganyane kuwa kuna upande utaona kuwa haupo sahihi kwa madai yao!!

Mfano polisi wameshajenga dhana kuwa wanadharauliwa na chadema,inaweza ikawa ni kweli lakini naamini si kwa matukio yote,na chadema nao wameshaweka akilini mwao kuwa wanaonewa kila tukio!!kitu ambacho naamini kuwa si kwa matukio yote!!hatari zaidi ni pale kuna madai kuwa polisi kupitia kwa Ocd na Rpc wanaapa kupambana na chadema kwa gharama zozote zile,kama ni kweli (sina uhakika) ni hatari kwa amani ya nchi,hakuna sehemu yoyote katika dunia hii nguvu ya dola ilifanikiwa kuziba watu midomo.

Kinachotakiwa sasa ni pande mbili kuzungumza na kujenga kuaminiana,chadema wahakikishe wanatii sheria hata kama wanaziona zinawakandamiza kwani sheria hazibadilishwi kwa mapambano,na polisi kufanya kazi kwa misingi ya haki bila kupendelea kwani kuna matukio huwa yanaonekana ni kama vile wanatumika kuwabeba ccm,wajiweke kando na siasa.

Totauti na hapo akina mijusi wengi wataibuka na amani ya nchi itakuwa hatarini.
sidhani kama itaweza kuzuia umma
 
ccm wanajaribu kupotosha ukweli lakini hawatafanikiwa wajinga unapomuonea mtu siyo unamfundisha ila unampa ujasiri wa kupambana na wewe ccm chama chakavu kimeshachoka kinataka kufia mikono mwa watu wapenda maendeleo ..mmesahau 4:0
 
Teh teh teh! Sasa wanakimbia nini tena wakati Lema kila siku anawalisha maneno kuwa hakuna dhambi mbaya kama uoga.

mkuu.. machalii wa arusha wameshamshtukia lema anawadanganya. anawaambia wamshughulikie mjusi halafu yeye ana kaa nyuma ilii kikinuka akimbie.. safari hii machalii wamemwambia akae mbele aongoze mapambano..lema amegoma ha ha ha lema muoga sana
 
Mtu anaitwa mjusi. Ameumiza na kuuwa watu lakini usalama wa mkoa unona poa tu. 2015 atakimbilia wapi?
 
Mtu anaitwa mjusi. Ameumiza na kuuwa watu lakini usalama wa mkoa unona poa tu. 2015 atakimbilia wapi?
 
Huyu JUMANNE MJUSI anawapeleka puta BAVICHA mpaka raha!


Mjinga mwenzio huyo nikija kutana naye uso kwa uso ni kwamba ama zake ama zangu.
Ashukuru Mwenyenzi MUNGU tu nisikutane naye kwenye anga zangu!
 
Nyie chadema punguzeni kulalamika inatosha sasa.... kwani hamjui nyumbani kwa mjusi petrol sheli zimekwisha mmelalamika muda gani???? Chukueni hatua ili wenzie na mjusi wasirudie kuwaonea tena. Si kulialia tuuu every day
 
Maccm hawana mbinu nyingine zaidi ya kujeruhi na kuua watu wa upinzani.
 
Back
Top Bottom