Maandamano makubwa chuo kikuu mkwawa

Sitachoka

JF-Expert Member
Nov 17, 2011
3,030
1,303
Hivi sasa mji wa Iringa unazizima
kwa maandamano ya wanachuo
kikuu kishiriki cha Mkwawa
kwenda kwa mkuu wa mkoa kisa
hawajaingiziwa fedha zao,HII NI
HAKI KWELI WAKATI MAMILIONI YA
KODI ZETU YANALIWA NA
WACHACHE SERIKALINI?
 
Wanachuo wa mkwawa waandamana kushinikiza kupewa pesa zao za kujikimu(boom) baada ya kuchoka kusubiri takribani wiki moja. Wamevumilia wamechoka hivyo wameamua kwenda kusikilizwa kwa mkuu wa mkoa wa iringa ili kupata haki zao na kujua hatima yao. Maisha yamekuwa magumu hapa chuoni.MPAKA SASA wanachuo hao wapo ofisi ya mkoa Iringa. Tutahabarishana baadaye kinachoendelea
 
Je kati yao kuna wale waliondamana jana kumpongeza jk na cc yake ya magamba kwa kazi nzuri?
 
HIi hakiyetu tunaipata mpaka kuandamana jaman?mbona hela zenyewe zilishatengwa toka kitambo.bado na sisi tunazisubir 18 wajambishemi nasi watuwahishie.
 
Unashangaa hao wakati vyuo vingi havijaingiziwa vinawavutia kasi we subiri hii wiki iishe hawajafanya mambo utjionea mwenyewe.
 
Hongereni sana mkwawa kwa kudai pesa zenu. Nasi 2po nyuma yenu bdo ka wki 2 2talianzisha na cc
 
Hivi sasa mji wa Iringa unazizima
kwa maandamano ya wanachuo
kikuu kishiriki cha Mkwawa
kwenda kwa mkuu wa mkoa kisa
hawajaingiziwa fedha zao,HII NI
HAKI KWELI WAKATI MAMILIONI YA
KODI ZETU YANALIWA NA
WACHACHE SERIKALINI?

Wanaandamana nini kwenda kwa mkuu wa mkoa si waende kutoa taarifa kwenye matawi yao ya vijana wa Chama cha Majambazi???
:wave:
 
Elimu imekuwa kitendawili kingine...hakuna hela za kusomesha watoto wetu. Tuna hela za kula mawaziri tu.
 
habari ya uongo hiii!


Mkuu inaonekana umetoka kuvuta misokoto kumi ya bangi sasa hivi. Nawachukia wanafiki wa aina yako, bila shaka wewe ni gamba kuu, subiri tutakuvua muda si mrefu. Nyie ndo wezi wa kodi za watanzania.
 
Back
Top Bottom