Tujisahihishe Tz
Platinum Member
- Nov 17, 2011
- 3,061
- 1,367
Hivi sasa mji wa Iringa unazizima kwa maandamano ya wanachuo kikuu kishiriki cha Mkwawa kwenda kwa mkuu wa mkoa kisa hawajaingiziwa fedha zao,HII NI HAKI KWELI WAKATI MAMILIONI YA KODI ZETU YANALIWA NA WACHACHE SERIKALINI?