Maandamano kuunga mkono serikali yetu juu ya EAC

hivi kwa nini watanzania tusipewe nafasi twende kwenye kura ya maoni ili kumaliza huu ubishi'kwa kweli wakuu ili jambo litatupotezea muda sana kwenye kujadili'kura ndio solution
 
[/COLOR]]Naona watu kwa upofu au kutokujua kwa makusudi wanachanganya land lease na land owenership. EAC ilikua mambo ya land yaende kwenye ownership ya land, na nchi zote wanachama wangetakiwa kurekebisha sheria zao kuendana na hili. Sheria za Tanzania bado ni land lease. Hizo hectares walizopewa wawekezaji, pale inapobidi, bado Rais(watanzania) ndiye mmiliki wa Ardhi yote ya nchi hii. Rais anaweza kunulify hizo title deeds zao siku yeyote atapoona hazina maslahi kwa nchi. RUBADA walishafanya hivyo kwa wawekezaji kadhaa.

Hata kama tuna chuki naye kwa mambo mengine mengi kwa hili la ARDHI ndani ya EAC, JK is RIGHT, na kama ikibidi HATULIHITAJI hilo shirikisho kama condition yao ni Ownership ya ARDHI yetu.

Hayo Maandamano lini na wapi???

Inasikitisha sana kwakweli, yani watu wanafanya MAKUSUDI kupindisha ukweli eti kwa kisingizio cha wa-Arabu, kwani hao wawekezaji waki-Arabu kupewa mashamba ya kulima ina maana kuwa wa-Arabu wote huko kwao sasa wanahaki sawa na wa-Tanzania kwenye umiliki wa ARDHI yetu....

Naunga mkono hoja ya MAANDAMANO hata kama yatakuwa humu humu JAMVINI:poa
 
Kama lease ilikuwa miaka 99 bado haijafikia.Wajuu zetu ndo watarudishiwa hio ardhi au kama Raisi ataona lease hio haina manufaa kwa nchi.Kwa sasa inaweza ikawa ni ya manufaa japo kwa vijipesa "Kiduchu". Serikali ingekuwa makini..i ngefanya biashara ya 'LEASE YA ARDHI" tukapata pesa za kutakata na wananchi wa maeneo yanayozunguka hayo yaliyo kuwa "LEASED" wakafaidika!!!
 
Back
Top Bottom