Maandamano Dodoma kupinga ukandamizaji wa CDA

Maandamano Dodoma kupinga ukandamizaji wa CDA

NGOWILE

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
454
Reaction score
258
Wananchi wa kata ya Kikuyu Kusini mjini Dodoma wameandamana mpaka Uwanja wa Nyerere square kupinga kile kinachoitwa unyasasaji wa CDA Dodoma.
 
1380525281742.jpg
 

Attachments

  • 1380525313893.jpg
    1380525313893.jpg
    88.2 KB · Views: 208
  • 1380525354319.jpg
    1380525354319.jpg
    89.7 KB · Views: 293
Huko ndo kule utakokuta kuanzia mwenyekiti wa kijiji,balozi,diwani na mbunge wao wote ni CCM alafu kila siku wanalalama!

Acheni kuwa watumwa wa CCM wajibisheni viongozi wenu kwa kuchagua watu wengine vinginevyo mkubali matokeo yake.
 
uko si ndio makao makuu ya chama na serikali, ok kila la kheri na ccm itawale milele kwenu uko
 
wananchi wa kata ya kikuyu kusini mjini dodoma wameandamana mpaka uwanja wa nyerere square kupinga kile kinachoitwa unyasasaji wa cda dodoma.

hao si ndo walioiweka ccm madakani?sasa wanalia nini?huo ndo uzuri wa kuwa na kichwa cha wendawazimu
 
Mimi niko hapa Dodoma wala siwahurumii hawa ndugu zangu. CCM kila inachowambia wanaikitia (heya chalumba) ndiyo tumekubali.
 
CCM oyeeeeeeee!

Yaaani hao nduguzangu wenyeji wa huko dodoma huwa wanaridhika kwa vitu vidogo sana ukiwapikia pilau tu! Basi umeshawafanya mazuzu#
 
ACHA WAKOME WAGOGO WENZANGU,MBUNGE WAO DAVID MALOLE YUKO BUSY NA SHUGHULI ZAKE BINAFSI,NAWAMBIO WAVUNE WALICHOKIPANDA,NDO FAIDA YA KUCHAGUA VIONGOZI WOTE KUTOKA CCM,"Wendile vya tene neje"Wala pegwa masweko hodu ne mahala ga kajilila"POLENI SN WANA DODOMA
 
Nyie wagogo wenzangu acha mbomolewe nyumba zenu labda ndo mtashutuka kwenye usingizi wenu wa pono... Nyie kuanzia balozi hadi mbunge ni CCM tu mnategemea nini sasa...
 
Wakazi wa kata ya Kikuyu Kusini na na majirani katika Manispaa ya Dodoma leo asubuhi wameandamana hadi Nyerere Squre Mjini kati, kuishinikiza CDA (Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu) kuacha kuwavunjia nyumba zao za tangu miaka ya 1973, Wanavyodai ni hata wenzao jirani wa Kijiji cha Mkonze mashamba yao wamelipwa na CDA kwa nini wao wasilipwe nyumba zao ingawa walishaorodheshwa kuwa wabomoe na wasijenge tena.
Mitaa ya Chinyoya, Nzuguni, Ntyuka, Makulu wote waligoma ardhi yao na kweli CDA ikipima Kiwanja mwenye eneo hurudishiwa fedha hata kupewa kiwanja kingine.
CDA inatazamiwa kuirudishia manispaa viwanja vyote vya wazi(Open Space), ambavyo walikuwa wavibomoe kutokana na amri ya Mahakama lakini Mbunge Bw David Malole akaingilia kati na kuomba visivunjwe kwani vina ajiri nusu ya wakazi wa manispaa hii. Open space hizo zikiwemo Kajima, Atlantic, KJ Kiosk, Jacana, Rose Garden, Mpepo, Sun Set, Savanha na nyinginezo itabidi sasa zirejeshe ziwe chini ya Manispaa ifikapo 25/10/2013 ndiyo yanvyoonekana makubaliano yatakavyokuwa.
Cha ajbu juzi 28/09/2013 CDA iliitisha Kikao cha dharura na Uongozi wa Mji, Madiwani wote wa Manispaa, Kamati ya Siasa ya Chama ya wilaya na wengineo, ili kujadili mustakabali huo, lakini wajumbe waliotoka huko naona hawakukubaliana kwani waliikataa (HONGO YA 50,000/) kama Posho ya Kikao haijulikani ni nini kikmetokea hadi baadhi ya wajumbe tena vijana kususia huku wakitishia kubumbulua
Matokea ndio leo wakazi hawa wa manispaa wanamtaka Mkuu wa Mkoa awabane CDA WASIBOMOE NYUMBA ZAO, na wawape kwanza wao viwanja vinavyobaki walipwe kifuta jasho, na wasiwasahau kwa barabara.
IMG01603.jpg Mwenyekiti wa Kitongoji akielezea masahibu waliyokutana nayo kuhusu kubomolewa IMG01602.jpg Wakazi walioandamana wakiwa wameshafika Nyerere Square chini ya Ulinzi wa POLISI
IMG01606.jpg Wakazi hao wakinyanyua mabango yao na nyimbo za kutaka wajengewe barabara na kupewa kwanza wao viwanja
IMG01605.jpg Hilo Jukwaa la Nyerere huwa halisogeleki hasa Ngazi zake kwani linalindwa na askari mgambo unachotakiwa, 9wakazi hao kwa pembeni wamenyanyua mabango wakimsubiri Mkuu wa mkoa) hapo ni kutoa Malalamiko yako kwanye hiyo sanamu (ya BABA WA TAIFA), km ni nyimbo, vilio, kashfa, lawama nk ukitoka nje ni kimya (Ni km ule Mnara wa Washngton Marekani) naona UDOM wanaukumbuka kwani umefikisha vilio vyao vingi
 
Back
Top Bottom