Maandamano Arusha Lema yuko huru

Maandamano Arusha Lema yuko huru

MASAMBI

Member
Joined
Feb 4, 2011
Posts
19
Reaction score
3
Mbunge wa arusha mjini mh. Godbless Lema ameachiwa kwa dhamana na kuna maandamano makubwa arusha mjini kwa sasa
 
Picha mkuu!! Crashwine keshatoa ndondoo keshaachiwa na watu wameshasambaa kitambo! sasa unasema maandamano yametoka wapi?
 
Mbunge wa arusha mjini mh. Godbless Lema ameachiwa kwa dhamana na kuna maandamano makubwa arusha mjini kwa sasa

polisi wamesha jifunza hawarudii tena!
 
Picha mkuu zitanogesha post yako,fanya kama watu wa Mbeya tulipata mambo katika picha pia,tupe update na mambo yalikuwaje na nani amemwekea dahamana
 
Back
Top Bottom