Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,870
- 34,357
Watani wangu Wahehe na Wamakonde karibuni katika kusherehekea Maandalizi ya Sikukuu ya Pasaka Kitoweo ndio hicho ninakileta.
Itabidi tuwachinje Tusherehekee Sikukuu ya Pasaka Aleluya Bwana Awe nasi.Sisi hatuli Mbuzi wa Kikatoliki Aka Nguruwe, tuna kula Mbwa Sisi Wahehe na Wamakonde. Mbwa mtamu sana ukila siku moja Mbwa utataka kula kila siku kwa utamu wake huyo Mbwa.Mzimzi mkavu bhana sasa mbwa wote hao wakuchinja?
View attachment 332528
Watani wangu Wahehe na Wamakonde karibuni katika kusherehekea Maandalizi ya Sikukuu ya Pasaka Kitoweo ndio hicho ninakileta.
Tuheshimiane mkuu, mbwa wako wapi? Mbuzi-iringa hao.Mzimzi mkavu bhana sasa mbwa wote hao wakuchinja?
MziziMkavu umenikumbusha siku moja mi na rafiki yangu tulienda kula mbuzi sehemu moja pale Iringa,tukiwa tunasubiria mara tukasikia mbwa kabweka mara moja bweeee.... rafiki yangu akanambia umesikia tunachinjiwa mbwa badala ya mbuzi! Tulitoka nduki hamu yote ya mbuzi ilituisha.
aisee nyama ya Nyoka siwezi kuila itanishinda kabisa afadhali nyama ya Mbwa..................![]()
![]()
![]()
mkuu MziziMkavu huku kwetu tumeshaanza na supu ya kobra. Hizi sikukuu za KUTUMBUANA MAJIPU usipokuwa mbunifu utaishia kushindia matembere tu.
Kamwene Mkuu nyama ya Mbwa ni tamu sana kwa Wahehe na Wamakonde wewe kwani ni Mhehe Mkuu?Tuheshimiane mkuu, mbwa wako wapi? Mbuzi-iringa hao.
Mnogage?Kamwene MziziMkavu