wakenya mbona mabwege tu watapigwa kama watoto tu hao..wanajua wapi kupigana? wanajifunzia kwa mungiki wanafikiri hao al shabab ni mungiki? waende zao nairobi huko wakaibe pesa na kula rushwa..hawana lolote. tz tungeenda hapo ndo tungewamaliza kabisa..si unajua wanajeshi wetu wanavyopenda sifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.